Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Nimeona picha zao kupitia ITV na kwakweli zinaleta hisia fulani kutokana na mavazi yao.
Lazima tu zitaleta mjadala.
Kazi sana!
Lazima tu zitaleta mjadala.
Kazi sana!
Dini ya magogoni auWamevaa mavazi gani kwani? Maana wengine hatujaona hyo taarifa ya habari.
Au mavazi ya dini ile?
Wamevaa mavazi gani kwani? Maana wengine hatujaona hyo taarifa ya habari.
Au mavazi ya dini ile?
Wamevaa mavazi gani kwani? Maana wengine hatujaona hyo taarifa ya habari.
Au mavazi ya dini ile?
Umewaona au kiherere tu!!Wamevaa Kanzu na wamefuga ndevu kama Osama!
Mkuu hao wanao kaa rumande!Shida kubwa zaidi ni hii hali ya watu kukaa rumande kwa miaka minne huku wakingojea upelelezi ukamilike. Justice delayed is justice denied!
Una maana wameshapotezwa?Mkuu hao wanao kaa rumande!
Waulizieni wale wa amboni Kama utampata hata mmoja aliye hai!!