Umeonaeee. Mijini waulize kuchat tu. Hahahaaaa.nipenda hiyo wanamenya njegere, wakifika nyumbani wanapika faster hahah watu wa mikoani tuna maubunifu yetu kwa kweli.
Tumekuja naona wametuamuliawanawake wa mikoani mnaitwa huku
Mikoani tupo vizuri
Hahahaaa. Na yuti yai. Lol.Mikoani tupo vizuri
View attachment 747594