Picha za wanawake wa mkoani

junky

JF-Expert Member
May 11, 2017
413
976
Sasa zamu ya wa mkoani hebu tupia picha zao kama unayo maktaba
FB_IMG_15239671642369301.jpg
FB_IMG_15239671717489011.jpg
FB_IMG_15239670149038998.jpg
FB_IMG_15179129856916862.jpg
FB_IMG_15178529299702176.jpg
FB_IMG_15179129237407276.jpg
FB_IMG_15178525082774216.jpg
FB_IMG_15178531455768687.jpg
 
Mi ninachopendea Mikoani hakuna kushangaana shangaana yaani sababu kama hao wanaochambua njegere hawana hofu wanachambua huku safari inakwenda wakifika sokoni ni kuuza tu.

Ila ingekuwa mjini sasa. Watu wangeona ni jambo la ajabu kuwahi kufanyika.

Wa mikoani. Oyeeeeee. Koh.
 
hahhha asante sana mkuu, watu wa mikoani huwa wanatuponda wanaume wa dar, kudadeki kumbe wanawake na wasichana wa huko ndivyo walivyo walaahi hata bure sichukui.
 
Wengine sio wa mkoani!!
Kuna sura humo za manzese, jangwani na pale wapi kweli.....mi sio mzoefu wa daslam nakujaga kuleta viazi tu nakurudi bara( mkoani)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom