Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Wew ndo ilo bonge hapo au........Wadau hamjamboni nyote?
Tupia picha yeyote nzuri ya kupendeza ya wafanyakazi wa Benki hapa Tanzania
Sidhani kama ni kitu kizuri kumterm mwanadamu mwenzio kama ulivyofanya hapo mkuu,Wew ndo ilo bonge hapo au........
Kwanini wafanyakazi wa Bank? Nini unachotaka kugundua, na unapata ruhusa ya nani kupost picha ya mtu mtandaoni bila ridhaa yake, mbali zaidi kudisplay details zake kama kazi yake?Wadau hamjamboni nyote?
Tupia picha yeyote nzuri ya kupendeza ya wafanyakazi wa Benki hapa Tanzania