Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Huyu jamaa yaani kweli sie twasubiri baraza la mawaziri yeye kaenda kujirusha huko, kampuni yenyewe full utata!!! wameiua TTCL na sasa jamaa ndo aanasherehekea hapa, tumueleweje sasa? so confusing!!! jamani si awepo mtu mtu hata wa kumshauri kidogo!!! anatia nanihiii