Picha za uongo zinazotumika za Amboni

Picha za uongo zinazotumika za Amboni

Ccm wanajua wale wa watanzania ndo leo wa kudanganya kama zamani asante sana mkuu kwa kutumbua macho kuona maovu ya ccm na sinema zao
 
labda nichukue muda wangu wa sekunde chache kujibu maswali yako ya kijinga(ingawa mimi sio mjinga kama e)
1.kuhusu ukweli ama uongo wa tukio inayegemea na pale uliposimama. kama ni gaidi ni lazima useme sio tukio la kweli na kama ni mzalendo basi una kila sababu ya kuamini kutokana na ushahidi toka kwa wananchi wanaoishi kuzunguka eneo la tukio.
2.kuhusu nani alisambaza picha... hili ni swali la kitoto sana. labda ungeuliza chanzo cha usambazaji wa picha. mtu yeyote(hata wewe) anaweza kuchukua picha kokote na kuamua kuisambaza nayo ikaendelea kusambazwa na wengine. hilo swali ungelielekeza mamlaka ya mawasiliano.
3.KWENYE ISSUE SENTIVE kama hii usidhani kazi ya jeshi la polisi ni kukanusha uvumi.. kazi yake ni kupambana na kutoa ripoti kwa umma. na kumbuka repoti inayotolewa sio detailed report bali inatolewa ripoti ya ujumla tuu ya kuelezea hali halisi ili kuwapa wananchi tahadhari kama situation is not yet under control ama kuwaambia wananchi wasiwe na wasiwasi kama hali imeshadhibitiwa. udaku na uvumi unaachwa kwa wadaku kama wewe.
4. hapo namba 4 sina la kukujibu zaidi ya kukuona mpumbavu. nenda amboni kaongee na wananchi halafu uje utapike kinyesi chako hapa. mapambano ya kiwango kile uwe ni upishi??? kuna haja ya kuhoji uzalendo wenu.
5.sijui mambo unayoyazungumzia, na kama mapambano na magaidi umgetaka yafanywe kama public show offf... kuna haja ya nyie wapenda ugaidi kujifunza jinsi mapambano haya yanavyoendeshwa na nchi nyingine. kinacholetwa kwa umma ni taarifa zisizo na mashiko wala athari yoyote ki intelijensia. tatizo ninyi mnataka hata mambo yasiyostahili kuletwa adharani mnataka yaletwe ili mwishowe myatafsiri kisiasa na kujijenga kimitaji uchwara.
....... nyie watu bado sana. hivi mnafikiri nchi inaendeshwa kwa majungu na siasa za majukwaani??
....... mngejua jinsi mnavyovihuzunisha vyombo vya ulinzi na usalama, mngetakiwa kujirekebisha.
....... kazi ya MBWA ni kubweka na sisi tunawaacha mbwa wafanye kazi yao

Hujatuambie wewe ni msemaji wa Chagonja au msemaji wa ccm umeandika vioja hakuna hoja ya maana umeakindika hapa
 
Mdomo ule ule uanotwambia 'intelijensia ya vitu vya ncha kali' ndo unatupa tukio la AMABONI alafu mnataka tuamini???
 
ni chombo gani cha habari cha serikali kilichosambaza hizo picha??
 
mkuu kwanza heshima kwako,naomba nikutoe tongotongo kwanza kwamba tupo kwenye karne nyingine kabisa.
enzi za propaganda uchwara ushapitwa na wakati kiongozi,tupo kwenye karne ya modern propaganda,propaganda za kidijitali sio kudanganya kadamnasi kwa ujanja wa kizamani kiasi hiki.
kwenye hayo mapango kuna underground turnel?Kama hakuna where are the so colled magaidi?
Ina maana jeshi na police walishindwa kuwa fish out hao magaidi pamoja na kutumia silaha nzitonzito,Kama waliweza kupata baiskeli na pikipiki mbovu hao majambazi walitorokea wapi,?
tumechoka na hizi sinema za kuingiza jeshi letu shupavu kwenye mambo ya kisiasa,this move was poorly planed,hamkujiopanga ipasavyo.
askaji wa jwz amejeruhiwa in battle field kwa nini hamkumsafirisha kwa helicopter hadi lugalo,kwa nini mmemzika huyu shujaa wetu kinyemela jamani.that guy was supposed to be accorded all sort of military burrial Kama tulivyozoea na pia ni tamaduni za majeshi yote duniani.
hata rambirambi hazijatumwa jamani au mmepeleka ubani kimya kimya.?
hapana you can't fool us on this ,mbinu zenubza propaganda mziadjust kidogo LA sivyo mnatuvunja moyo sisi RAIA wema.
Mkuu nimenote kitu, katika andiko lako.

Kwa jinsi tulivyomzoea mkuu wa nchi yetu, kama kweli tukio hilo lilikuwa 'genuine' na kuna shujaa mwanajeshi wetu amepoteza maisha kwenye battle field, ni lazima kwenye mazishi yake tungetegemea ujumbe mzito sana, including yeye mwenyewe kuhudhuria na mazishi hayo yafanyike kwa heshima zote za kijeshi na yafanyiwe coverage na vyombo vya habari mbalimbali.

Badala yake tumemuona mkulu akiruka na ndege kwenda Kalenga Iringa, kuhudhuria mazishi ya chifu wa kihehe, ambayo ni kama 'ceremonial post'

Hivi inawezekanaje kwa tukio kubwa kama la Amboni, ambalo limeattract attention kubwa ya National na International media, mazishi ya 'shujaa' wetu huyo mpambanaji,mkulu asiweze kuhudhuria wala kutuma mwakilishi, utadhani ni mazishi ya katoto kachanga,kalikoishi kwa siku moja tu hapa duniani?!
 
Polisi na JWTZ wamezuia vyombo vya habari kuingia eneo la tukio kwa maana hiyo hakuna aliye na picha za kinachoendelea Amboni.
 
Hii picha ya chini ambayo inasambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii kuwa mwanajeshi aliyeuwawa
SOURCE YAKE HII HAPA

542494783.JPG



2. hii picha inasambazwa kwenye mitandao ya kijamii hasa hasa whatap na Instragram kuwa wanajeshi wapo kw enye mapambano SOURCE YAKE HII HAPA YA 2008

1.JPG


3. HII ya chini walikuwa kwenye maadalizi ya kukabili waandamanaji wa sheh Ponda Morogoro SOURCE YAKE HII HAPA

attachment.php
Ujinga wa CCM wanajua watanzania fuata upepo, wanataka tusahau kujadili vitu muhimu kama katiba, tuanze kushabikia uongo wao... This is bull shit
 
Mkuu nimenote kitu, katika andiko lako.

Kwa jinsi tulivyomzoea mkuu wa nchi yetu, kama kweli tukio hilo lilikuwa 'genuine' na kuna shujaa mwanajeshi wetu amepoteza maisha kwenye battle field, ni lazima kwenye mazishi yake tungetegemea ujumbe mzito sana, including yeye mwenyewe kuhudhuria na mazishi hayo yafanyike kwa heshima zote za kijeshi na yafanyiwe coverage na vyombo vya habari mbalimbali.

Badala yake tumemuona mkulu akiruka na ndege kwenda Kalenga Iringa, kuhudhuria mazishi ya chifu wa kihehe, ambayo ni kama 'ceremonial post'

Hivi inawezekanaje kwa tukio kubwa kama la Amboni, ambalo limeattract attention kubwa ya National na International media, mazishi ya 'shujaa' wetu huyo mpambanaji,mkulu asiweze kuhudhuria wala kutuma mwakilishi, utadhani ni mazishi ya katoto kachanga,kalikoishi kwa siku moja tu hapa duniani?!

Kabla ya yote nimekugongea 'like' then nije kwenye hoja, tuliona skari wetu waliokufa Dafur na East Congo walivyaogwa kwa heshima na coverage ya kutosha. Ukiachia mbali mkuu wa nchi, basi hata kiongozi mkubwa jeshini angeenda!
 
Hii picha ya chini ambayo inasambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii kuwa mwanajeshi aliyeuwawa
SOURCE YAKE HII HAPA

542494783.JPG



2. hii picha inasambazwa kwenye mitandao ya kijamii hasa hasa whatap na Instragram kuwa wanajeshi wapo kw enye mapambano SOURCE YAKE HII HAPA YA 2008

1.JPG


3. HII ya chini walikuwa kwenye maadalizi ya kukabili waandamanaji wa sheh Ponda Morogoro SOURCE YAKE HII HAPA

attachment.php

Hao wajeda lazima wahenyeshwe maana kwenye list ya uswis kuna wakubwa zao wamo sasa walikuwa wanajaribu kutupoteza maboya wakakuta machale intlejensia za wananchi kwa sasa Mungu anazipigania zipo kidigital ccm mwaka huu watashaa.
 
Mkuu hayo mapambano uliyaona wapi, wengine hata picha tu hatujaona.

Au wewe uko front Pamoja na Chagonja.?

Pia anatakiwa ajib kuhusu askari aliyekufa, mbona alizikwa kishikaji sana pasipo kujulikana kazikwa wapi, pia askari huzikwa kijeshi ikiwemo kupigiwa mizinga iweje kimyakimya
 
Mimi hapa kuna video moja nimetumiwa whatsapp ni ya kichochezi kweli kweli na wahusika ndani ya hiyo video wanasema wako tanga na wanahamasisha vijana wote waje wajiunge nao tayari kuanza vita, pia wanajisifu kua wamevamia vituo vya polisi na kupola silaha, ni video mbaya sana

Hamna kitu kama hicho yaani gaidi akuambie yupo mahala fulani ndo ujue Mungu anavyomuumbua mnafiki kwenye hicho kipengele wakichemka mbaya .
 
Inauma saanaa

mwsho wa SIKU UISLAM NA WAISLAM TUNAKUJA KUBEBESHWA LAWAMA ISIYO TUHUSU

HATA TUKISEMA NAMNA GANI KWAMBA JAMANI UISLAM HAUHUSIKI KATIKA HILO,,HIZO NI NJAMA NA PROPAGANDA ZA KUCHAFUANA TUH,,HATUELEWEKI

INAUMA SANA
 
Sijawahi kuona VX za police zinakwenda kupambana na magaidi na sijawahi ona Gaidi wapo kwenye maandalizi ya kukusanya silaha na nguvu kazi watu eti wakiwa wanamtangazia adui ambae ni serikali tena kwenye media eti tupo tunakusanya nguvu tufanye ugaidi hii ni kali kweli,Osama hakutangaza maandalizi ya september 11 alipiga ndio akasema yeye kapiga.
 
Ccm wote wana akili km za ng'ombe. Wanadharau watz vya kutosha
 
hii yote ni kwa chama tawala kukosa strategic thinkers. wameishia kutafuta short cuts na kujaribu kuunganisha chama dola na dola chama ili chama na dola viwe na kauli moja!! it is so poor strategic thinking
 
Back
Top Bottom