Picha za uongo zinazotumika za Amboni

Picha za uongo zinazotumika za Amboni

Nchi inaendeshwa kiuongo-uongo katika nyanja zote! Ni yaleyale ya "Pesa za Escrow siyo za umma"! Hapa kuna Chama choka mbaya! Namna hii, kweli tutafika!!????
Viongozi wenyewe wa chama ni type ya akina Nape unafikiri kuna progress yeyote ya kujenga.
 
Tatizo kila mtu tukio likitokea anataka kuwa mwandishi wa habari bila kujua misingi ya uandishi ikoje,hakika mwisho wa siku hizo habari zitaibua uchochezi katika nchi yetu
 
Yericko Nyerereeee njooo hukuuu!!!!

Huyu jamaa alilamba matusi kwelikweli na vitisho vya kutosha humu jukwaani, sasa sijui uso wao utafichwa wapi!!
 
LENGO LAO KUWASAHAURISHA WANANCHI NA SAKATA LA ESCROW, SUKARI, MAANDAMANO YA CUF, ISSUE YA KENYA NA TZ n.k. LAKINI WAMEANZA KUUMBUKA KWANI MKUU WA MKOA WA TANGA AMESEMA HAKUNA MTU ANAYESHIKILIWA NA POLISI HUKO TANGA . HIVYO ANAWATAKA WANANCHI WATOE USHIRIKIANO KWA POLISI. HII NI AJABU... KAMA POLISI WALIJERUHIWA NA MWANAJESHI KUUWAWA, INAKUAJE HAKUNA JAMBAZI ALIYEJERUHIWA?. NI KIINI MACHO TU
 
Nimeamka na mawazo kibao namna uchumi unavyonisumbua nimejikuta nasahau kila baada ya kuingia huku
 
LENGO LAO KUWASAHAURISHA WANANCHI NA SAKATA LA ESCROW, SUKARI, MAANDAMANO YA CUF, ISSUE YA KENYA NA TZ n.k. LAKINI WAMEANZA KUUMBUKA KWANI MKUU WA MKOA WA TANGA AMESEMA HAKUNA MTU ANAYESHIKILIWA NA POLISI HUKO TANGA . HIVYO ANAWATAKA WANANCHI WATOE USHIRIKIANO KWA POLISI. HII NI AJABU... KAMA POLISI WALIJERUHIWA NA MWANAJESHI KUUWAWA, INAKUAJE HAKUNA JAMBAZI ALIYEJERUHIWA?. NI KIINI MACHO TU

Mkuu sio wewe tu, hata mimi siwaelewi kabisa hawa watu! Halafu kila siku tunawasikia kupitia Vyombo vya habari wakituhubiria kuwa tujihadhari na hao wachache wanaotaka kuiharibu nchi yetu kumbe ni wao wenyewe wanaotoa viashiria vya hatari!
 
Naamini watainamisha chini nyuso zao kwa aibu, waandishi wetu wengi WA magazeti yetu
 
Yaani hili tukio limegubikwa na wingu kubwa ukweli bado haujulikani.
 
hii picha ya pili si walikuwa kwenye zoezi. itakuweje wajeda wengine wamesimama na kushika viuno, halafu useme wapo kwenye mapambano na gaidi.
Hizi picha zimesambazwa na watu wenye akili za kipuuzi kwa kudhani kila kitu ni propaganda na siasa hata kwenye mambo ya maana hakuna hata picha moja iliyopatikana toka eneo la tukio.
 
Aisee, hivi watu hawa wanafikiria kwa kutumia nini?
 
Mimi hapa kuna video moja nimetumiwa whatsapp ni ya kichochezi kweli kweli na wahusika ndani ya hiyo video wanasema wako tanga na wanahamasisha vijana wote waje wajiunge nao tayari kuanza vita, pia wanajisifu kua wamevamia vituo vya polisi na kupola silaha, ni video mbaya sana

Ndugu yangu jeshi lime shaingiliwa na mabeberu kutumia mlango wa dini. Na serikali yetu inashindwa kusoma alama za nyakati.
Moja ya mbinu kubwa ilo tumiwa na walinzani wa Assad kule syria ni kutayarisha video kama hizi kuwaita watu kupigana na assad .
Cia walitoa fedha nyingi kutumia twitter na mitandao mengine .
Lengo sio kumuindoa tu assad bali kuichafua nchi hio na kuwaweka hao mujahud sehemu moja ili iwamalize na pia kuendeleza vita yao ya kuchafua
Wakafanikiwa sana kule vijana wasiokua na kazi wakaitikia kutoka dunia nzima wakapewa mafunzo jordan na turkey leo wale ndio isis wamekuwa mijambazi mikubwa.
Na sisi tunatengenezewa mazingira hayo hayo.
Nchi hii watu wanaishi pamoja na kufanya kazi pamoja
Raia wa nchi hii ni wapole tangu kudai uhuru na hata kama kama kuna mijizi ya escrow wataliga kelele na baadae yanapita.
Hakuna vita hapa lakini tusipi kuwa makini tutaletewa na hawa hawa tunao waamini kuwa ni marafiki wa kutufundisha kupambana na magaidi lakini wao lengo lao kuchafua wao wapo kwao wanakula burgers
 
Kama kuna mtu anamuani CHAUGONJWA basi na yeye akili yake itakuwa na UGONJWA.
 
Back
Top Bottom