Picha za uongo zinazotumika za Amboni

Picha za uongo zinazotumika za Amboni

Hii picha ya chini ambayo inasambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii kuwa mwanajeshi aliyeuwawa
SOURCE YAKE HII HAPA

542494783.JPG



2. hii picha inasambazwa kwenye mitandao ya kijamii hasa hasa whatap na Instragram kuwa wanajeshi wapo kw enye mapambano SOURCE YAKE HII HAPA YA 2008

1.JPG


3. HII ya chini walikuwa kwenye maadalizi ya kukabili waandamanaji wa sheh Ponda Morogoro SOURCE YAKE HII HAPA

attachment.php

Yaani jamani kwakweli nimefurahi saàaaana we mtu una akili saaaaaana. Bora wangekupa Uwaziri kwenye serekali yao. Tena Uwaziri Mkuu. Maana ungewasaidia kiukweli. Umetulia na kufikiria na kuchambua mambo kwa akili. Barikiwa saaaaana mpaka ushangae
 
very interesting......nchi hii ni ya watoto
 
Cha kujiuliza hapa,je hizo picha nani kazileta mitandaoni?,maana naona watu wanalalamika tu mwanzo mwisho.
 
Jamani tuache utani kweli hali ya usalama wa nchi ni tata.
 
Wakuu;

KAwaida mtu unapopinga jambo fulani inabidi utoe ufafanuzi.

Sasa kama hizi picha siyo za tukio la Tanga, tunaomba utupatie za huko Tanga ili tuweze kuamini.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Aibu !!!! Aibu!!!!!!!Aibu!!!!!!!! Jamani ni Aibu kwa Polisi Wetu maana kwa Hii Prove in 100% CCMB-B Je Nia yao ni nini????, Kutia Hofu Watanzania... Do Only in Tanzania...
 
Utafiti niliofanya tangu juzi unaonyesha kwamba wananchi kila kona wamepuuza habari hiyo vibaya sana !
 
kwani hamjamuona gaidi anasema "Mheshimiwa Rais"
kama Bongo movie, Jambazi anavua viatu mlangoni.
 
Nijauvyo mimi Tanga saizi kuna mvua na hata kama hakuna mvua hapawezi kuwa pakavu kiasi hiki katika msimu huu. Hao wanajeshi walikuwa wako mafunzoni. Tena tazama hao wengine wamekaa wanavuta Pack Break kabisa, hapo utasema wako front line???
 
Yaani jamani kwakweli nimefurahi saàaaana we mtu una akili saaaaaana. Bora wangekupa Uwaziri kwenye serekali yao. Tena Uwaziri Mkuu. Maana ungewasaidia kiukweli. Umetulia na kufikiria na kuchambua mambo kwa akili. Barikiwa saaaaana mpaka ushangae


nchi Ya Divisiom 5.
 
Wakuu;

KAwaida mtu unapopinga jambo fulani inabidi utoe ufafanuzi.

Sasa kama hizi picha siyo za tukio la Tanga, tunaomba utupatie za huko Tanga ili tuweze kuamini.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Kwa hiyo mleta mada asipokupa picha za Tanga utaendelea kuamini hizo picha ni za Amboni pamoja na vielelezo alivyokupa.?
 
labda nichukue muda wangu wa sekunde chache kujibu maswali yako ya kijinga(ingawa mimi sio mjinga kama wewe)
1.kuhusu ukweli ama uongo wa tukio inayegemea na pale uliposimama. kama ni gaidi ni lazima useme sio tukio la kweli na kama ni mzalendo basi una kila sababu ya kuamini kutokana na ushahidi toka kwa wananchi wanaoishi kuzunguka eneo la tukio.
2.kuhusu nani alisambaza picha... hili ni swali la kitoto sana. labda ungeuliza chanzo cha usambazaji wa picha. mtu yeyote(hata wewe) anaweza kuchukua picha kokote na kuamua kuisambaza nayo ikaendelea kusambazwa na wengine. hilo swali ungelielekeza mamlaka ya mawasiliano.
3.KWENYE ISSUE SENTIVE kama hii usidhani kazi ya jeshi la polisi ni kukanusha uvumi.. kazi yake ni kupambana na kutoa ripoti kwa umma. na kumbuka repoti inayotolewa sio detailed report bali inatolewa ripoti ya ujumla tuu ya kuelezea hali halisi ili kuwapa wananchi tahadhari kama situation is not yet under control ama kuwaambia wananchi wasiwe na wasiwasi kama hali imeshadhibitiwa. udaku na uvumi unaachwa kwa wadaku kama wewe.
4. hapo namba 4 sina la kukujibu zaidi ya kukuona mpumbavu. nenda amboni kaongee na wananchi halafu uje utapike kinyesi chako hapa. mapambano ya kiwango kile uwe ni upishi???kuna haja ya kuhoji uzalendo wenu.
5.sijui mambo unayoyazungumzia, na kama mapambano na magaidi umgetaka yafanywe kama public show offf... kuna haja ya nyie wapenda ugaidi kujifunza jinsi mapambano haya yanavyoendeshwa na nchi nyingine. kinacholetwa kwa umma ni taarifa zisizo na mashiko wala athari yoyote ki intelijensia. tatizo ninyi mnataka hata mambo yasiyostahili kuletwa adharani mnataka yaletwe ili mwishowe myatafsiri kisiasa na kujijenga kimitaji uchwara.
....... nyie watu bado sana. hivi mnafikiri nchi inaendeshwa kwa majungu na siasa za majukwaani??
....... mngejua jinsi mnavyovihuzunisha vyombo vya ulinzi na usalama, mngetakiwa kujirekebisha.
....... kazi ya MBWA ni kubweka na sisi tunawaacha mbwa wafanye kazi yao
Mkuu hayo mapambano uliyaona wapi, wengine hata picha tu hatujaona.

Au wewe uko front Pamoja na Chagonja.?
 
Kwa hiyo mleta mada asipokupa picha za Tanga utaendelea kuamini hizo picha ni za Amboni pamoja na vielelezo alivyokupa.?


Mkuu

Jeshi la Polisi wao wanatuambia kuwa wale waliokuwa wanapambana na Askari walikuwa ni Wahuni fulani tu!!!!!!

Na walikiri kuwa mapambano yalikuwa ni muda wa masaa 48!!!!

Sasa tunapata kigugumizi kwani taarifa za Waandishi wa magazeti na Jeshi la polisi zinatofautiana.

Hivyo tungelipata mwenye angalau ka Picha kadogo tuweze kuelewa sisi tulio mbali na eneo la tukio.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
 
Mmhhhh....... Hii ikiwa kweli nahama nchi mwezi ujao
 
Back
Top Bottom