sasa na hili alaumiwe Rais?
Si haki kumlaumu huyo Kikwete kwa ishu ya kipumbavu hiyo.Wakati nikitaka kuchunguza kama tcu wameshatoa selection kwenye tovuti yao nimekutana na picha na video za ngono, je ni kweli tcu hawana security ya kuweza kudhibiti website yao au ni uzembe wa serikali Ya JAKAYA MRISHO KIKWETE.
Bado haibadilishi mantiki yako.mbona una fikra fupi kama vichaa wa milembe, sijamlaume rais bali nimelaumu serikali yake acha uvivu wa kufikiri au gamba nini wewe?
sasa na hili alaumiwe Rais?
mbona una fikra fupi kama vichaa wa milembe, sijamlaume rais bali nimelaumu serikali yake acha uvivu wa kufikiri au gamba nini wewe?
Kuongoza watu ni lawama tu. kuna siku rais atalaumiwa kwa nini anaachia watu wanakula kuku na wali majumbani mwao wakati wengine wanakula ugali na maharage. Usiombe kuwa kiongozi, ukitii kila lawama utakufa kabla ya wakati wako.sasa na hili alaumiwe Rais?
sasa na hili alaumiwe Rais?
sure 100%,fungua hata saivi kwenye website yao kuna links kibao za videos na picha za ngono, nawashauri wafanye marekebisho mara moja.mtoa mada anauhakika??
Huo ni upuuzi unaofanywa na vijana wa chadema kila kukicha kumuhusisha raisi na mambo ya hajabu hajabu siku hizi heshima hamna enzi za mwalimu watu wapuuzi kama hawa walikuwa wanafanywa kitu mbaya ambayo hawezi adisia kwa watu wengine!
Umeshawahi fanyiwa nini? Uliliwa tiGo nini?