Picha za Lissu, Nassari na Heche, Arumeru Mashariki

Picha za Lissu, Nassari na Heche, Arumeru Mashariki

Yani unataka kusema hizi takataka zilipigwa kiberiti?

522080_510251082372224_138549568_n.jpg
 
Mkuu, siyo picha zangu hizo. Hii ilikuwa wakati Mwigulu Nchemba ameenda kwa Wamasaai na kujifanya yeye si Serikali ila ni CCM. Wamasaai wakaona poa tu, wakazikusanya kadi zao na kuja kumlundikia Mwigulu
Choma moto zote......mkuu umetisha
 
Last edited by a moderator:
hii maanake nini mkuu

quote_icon.png
By kibogo

attachment.php
attachment.php

chadema hakuna mambo kama haya lakini watu kwa mapenzi yao wanamiminika kwa wingi.

Maana yake CCM watu ukusanyika kwa sababu ya WALI & MAHARAGE + KANGA, VITENGE, KOFIA & FULANA lakini kwa CHADEMA hukusanyika pasipo kuwepo na vitu hivyo bali ni mapenzi yao juu ya chama hiki(CDM).
 
Back
Top Bottom