mbona watu wachaache
Hata mimi nashangaa, hapo ni wachache saaana nyomi halijakolea hapo kabisaa
mbona watu wachaache
Wametishaje!!!!!!!!!!!!
Mbona kawaida saaana tu
hiyo nyomi iko wapi hapo?
mbona kawaida? hao watu wameenda kusikiliza au kushangaa helicopter? nakumbuka 2005 mbowe alizuzuka na umati wa helicopter akaangukia pua
CCM wanaweza kupata umati kama huo bila kuwalipia pesa za nauli au kuwasomba kwa malori?Wametishaje!!!!!!!!!!!!
Mbona kawaida saaana tu
Mkuu nasikia msando alberto kazomewa leonimeweka hiyo thread fasta wakaifuta tujulishe kama unajuwa zaidi juu ya hii kitu
Hivi huku kongwa kwa ndugai....wanakuja lini
View attachment 134354 View attachment 134355
Hizi picha jamani zinanichekesha sana. Vifusi vya wali huwa ni mtego kwa wana CCM
...kawaida kama hawa?Wametishaje!!!!!!!!!!!!
Mbona kawaida saaana tu
Wamasaai na ndugu zao huwa wanaondoka kwa makundi haswa....
![]()
![]()