m4c-pamoja daima
daina pamoko
m4c-pamoja daima
moja ya mikutano iliyofanyika kwenye operedheni m4c pamoja daima ni uliofanyika kwenye kijiji cha olkung'wado kata ya ngarenanyuki - arumeru mashariki leo.
Wameunguruma kamanda lissu, nassari na heche. Kadi zaidi ya 400 za ccm zimerudishwa kwa hamasa. Ona picha
mbona watu wachaache
ukiwa cdm unakuwa na amani sana.kule ccm mara uitwe mzigo,mara buku 7,mara sammy cool,yani unakosa raha
mbona watu wachaache
Teh teh teh!!
mtaweweseka sana awamu hii!
naona kila ukiona post za makamanda unapumlia kinyeo!!
umetumia kipimo gani ukatoka na majibu haya? ushaambiwa kuwa hapo ni kijijini lakn nyomi lake halipimiki!
Mkuu au huna miwani.
Watu walikuwa nyomi mbaya...... ccm inatia huruma kwakweli
Wametishaje!!!!!!!!!!!!
Mbona kawaida saaana tu
Moja ya mikutano iliyofanyika kwenye operesheni M4C pamoja daima ni uliofanyika kwenye kijiji cha olkung'wado kata ya ngarenanyuki - Arumeru mashariki leo.
wameunguruma Kamanda Lissu, Nassari na heche. Kadi zaidi ya 400 za ccm zimerudishwa kwa hamasa. Ona picha
mbona watu wachaache
hao watu ni wachache ukizingatia ni kijijini watu wameenda kushangaa helicopter
hiyo nyomi iko wapi hapo?
mbona kawaida? hao watu wameenda kusikiliza au kushangaa helicopter? nakumbuka 2005 mbowe alizuzuka na umati wa helicopter akaangukia pua
hah hah !!!!View attachment 134354 View attachment 134355
CHADEMA hakuna mambo kama haya lakini watu kwa mapenzi yao wanamiminika kwa wingi.