Picha za kufikirisha na kutia hasira

Picha za kufikirisha na kutia hasira

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,715
Reaction score
59,251
966082661546f6cebe3491a5e9da392b.jpg
b5d823ebad553965333c4dd734217cb4.jpg
5ceb0c8b8767ce0bab9c64c00d1be0e8.jpg
077a13771a44234db26c5052429c438d.jpg
5676f7dcdb4e3412ffc8a9eb412865d0.jpg
d815fa8e4a5dc8c56fd481a691111b47.jpg
4e6067a133b4873569aa30719ca8c6e3.jpg
a933839b8a41d11d780827d6956d9aad.jpg
29f2f8fc1d20fcc098d165ddb21d4a53.jpg
5bfd8ff8cc6675ca8bf04c5d3fb5967b.jpg
916a0eca9abb735447392b6d91cbb972.jpg
aac7cb06bae19596446bc26eb68d2244.jpg
78b834e2ab9ebbd288055606700f8ce4.jpg
 
CCM imeleta maendeleo na japo sii lazima picha hizi ziwe zimepigwa Tanzania, lakini hii ndio hali halisi ya maendeleo yetu yaliyoletwa na CCM, kwenye baadhi ya maeneo!.​
Tunaipenda, tunaikubali na tutaendelea kuichagua kwa kutuletea maendeleo.

P.
 
CCM imeleta maendeleo na h
ii ndio hali halisi ya maendeleo yetu kwenye baadhi ya maeneo!.
Tunaipenda, tunaikubali na tutaendeleo kuichagua kwa kutuletea maendeleo.

P.
Sidhani hizi picha zote zimechukuliwa Tanzania. Hii ndo baadhi ya nchi kama Sudani ya kusini na Somalia. Hata hivyo aliyeleta huzi huu hajaonyesha zilipigwa lini? Mtu kuanza kuishutumu serikali ya CCM ni kuonyesha kwa jinsi gani wewe binafsi hujitambui. Kwa zaidi ya miaka 50 tumepiga hatua kubwa japo bado changamoto zipo lakini sio kwa kiasi kinachowakilishwa na picha hizi!!!!
 
Sidhani hizi picha zote zimechukuliwa Tanzania. Hii ndo baadhi ya nchi kama Sudani ya kusini na Somalia. Hata hivyo aliyeleta huzi huu hajaonyesha zilipigwa lini? Mtu kuanza kuishutumu serikali ya CCM ni kuonyesha kwa jinsi gani wewe binafsi hujitambui. Kwa zaidi ya miaka 50 tumepiga hatua kubwa japo bado changamoto zipo lakini sio kwa kiasi kinachowakilishwa na picha hizi!!!!
Upo sahihi zote sio za Tanganyika lakin haiondoi ukweli kwamba kuna watanganyika wanaishi maisha kama hayo.

Mwaka jana nilikuwa nalima mboga mboga sehemu fulan. Wale jamaa waliokuwa wananipa kampan ya kazi walikuwa wanakunywa maji ambayo katika hali ya kawaida huwezi kuyanywa. But kwao halikuwa tatizo sana. It was pathetic
 
Tumeipenda wenyewe, tumeichagua wenyewe, chaguo letu milele...........,......!
CCM imeleta maendeleo na japo sii lazima picha hizi ziwe zimepigwa Tanzania, lakini hii ndio hali halisi ya maendeleo yetu kwenye baadhi ya maeneo!.​
Tunaipenda, tunaikubali na tutaendelea kuichagua kwa kutuletea maendeleo.

P.
 
HII SIYO TANZANIA, HATA HIVYO BWANA YESU KRISTO ALISEMA 'MASIKINI MTAKUWA NAO'. KWANI HATA MAREKANI WAPO
 
CCM imeleta maendeleo na japo sii lazima picha hizi ziwe zimepigwa Tanzania, lakini hii ndio hali halisi ya maendeleo yetu kwenye baadhi ya maeneo!.​
Tunaipenda, tunaikubali na tutaendelea kuichagua kwa kutuletea maendeleo.

P.
Hapo mbona sijakuelewa
 
Sidhani hizi picha zote zimechukuliwa Tanzania. Hii ndo baadhi ya nchi kama Sudani ya kusini na Somalia. Hata hivyo aliyeleta huzi huu hajaonyesha zilipigwa lini? Mtu kuanza kuishutumu serikali ya CCM ni kuonyesha kwa jinsi gani wewe binafsi hujitambui. Kwa zaidi ya miaka 50 tumepiga hatua kubwa japo bado changamoto zipo lakini sio kwa kiasi kinachowakilishwa na picha hizi!!!!
mkuu juzi tu mtu kawekwa ndani kisa kupiga picha watu walifanya mtiani nje
 
Sidhani hizi picha zote zimechukuliwa Tanzania. Hii ndo baadhi ya nchi kama Sudani ya kusini na Somalia. Hata hivyo aliyeleta huzi huu hajaonyesha zilipigwa lini? Mtu kuanza kuishutumu serikali ya CCM ni kuonyesha kwa jinsi gani wewe binafsi hujitambui. Kwa zaidi ya miaka 50 tumepiga hatua kubwa japo bado changamoto zipo lakini sio kwa kiasi kinachowakilishwa na picha hizi!!!!
Weka namba ya simu mwisho Wa comment yako.
 
Nasikia waliambiwa tajiri hataurithi ufalme wa mbinguni
 
Back
Top Bottom