The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 11,133
- 14,640
Jana nilikuwa na shida kwa mkuu wa wilaya fulani hapa musoma cha ajabu nkakuta juu kuna picha ya Mh Magufuli
Nashauri ziondolewe mara moja kwani ni ishara ya kutokuwa watiifu kwa Rais mpya Samia Suluhu
Aidha kwa wale wanaompenda inawatonesha kidonda na pia inaonesha Serikali haina mikakati
Yaani siku ya kutangazwa amefariki palepale ilibidi kampuni yakutengeneza picha hizo ilipwe siku ya kuapishwa ofisi zote awepo MFARIJI AKA MAMA WA TAIFA .
Nashauri ziondolewe mara moja kwani ni ishara ya kutokuwa watiifu kwa Rais mpya Samia Suluhu
Aidha kwa wale wanaompenda inawatonesha kidonda na pia inaonesha Serikali haina mikakati
Yaani siku ya kutangazwa amefariki palepale ilibidi kampuni yakutengeneza picha hizo ilipwe siku ya kuapishwa ofisi zote awepo MFARIJI AKA MAMA WA TAIFA .