Picha za Face Book

This doesnt apply to me my Dear. I live by my standards, not by friends influence.

For your information, there is a difference between face book ''friends'' and friends.

Oh really? Whats the difference? Nijuze mwaya..
 
Nawamind sana watu watu wanaotaka facebook kuwe na maadili!!!mbona watu FB hawalalamiki JF kuna siasa nyingi????acheni wadada wajiachie ndo wanafanya mda mwingi niwe online na kweli wanasaidia kijamii!!!acha nikaupload picha mpya nikapate macomment nipate wa kuwa nae this weekend!!!!
 
Ingetoa sample ingekuwa vyema sana
 
Kama kuna picha zinakuboa acha kupekuapekua ktk fb we fanya mambo yako ukimaliza logout
 
Ni vizuri ukiwaambia pia na wao moja kwa moja na kama hawatapenda as long as si rafiki zako halisi unaweza kuwa'block' pia. Kila kitu chema huanzishwa kwa nia njema bali wabaya wanapoingia huanza kuchafua uzuri wa kitu au jambo, ni kawaida katika maisha. Thanks for your concern Vivy!
 
Mi nadhani una uhuru wa kuwablock marafiki wa aina hiyo.Ingawa hata mimi huwa sielewi kwanini mabinti wengi huwa wanaweka picha za kujidhalilisha.Vivy my dear wa staili hii hawantuaibishi ila wanajiaibisha!
 
nipee ac ya rafiki yako mmoja fasibuku sanaa ya huyoo alie vyaa kanga mojaa na kujimwagia majii,waaaaaaaaaalaaah naskiaaaa utamuuuuu
 
Bandika hapa japo moja tutajua kama ni promo au mambo mengine??
 

Nitag hii picha kupitia
Log In | Facebook
 
Ndhani ingekuwa vyema zaid kama ungeziweka hizo picha hapa ili tutoe maoni mazuri zaidi
 
namba anuani yake ya facebook please
 
Vivian.....tukianzia na Avatar yako...iko sawa unavoona? Haijakaa ki-facebook?LOL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…