Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Suluhu ni baba yake sio mume wake ujue. Waislam hawachukui majina ya waume zao, wanabaki na majina ya baba zao.Mzee suluhu anaonekana wa maana sana. Kwa hiyo jamaa makazi yake ni ikulu?
Congratulations! Muwe na furaha daima
Vipi kuna distance kati yao au?Picha mbona inaeleza kuna jambo kati ya hao wanandoa?