Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi akipewa maelezo na daktari wa hospital ya Selian juu ya mtoto aliyejeruhiwa katika bomu lililorushwa kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani wa chadema juzi
Askari wakiwatawanya Wananchi waliokusanyika katika viwanja vya Soweto jijini Arusha kuombeleza vifo vya wenzao waliouawa kwa bomu.PICHA: WOINDE SHIZZA
Mbunge wa Nyamagana (CHADEMA), Ezekiel Wenje (Wapili kushoto), akimuondoa mbunge wa Iringa Mjini (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa (Wapili kulia), baada ya ``kukwaruzana`` kwa maneno na mbunge wa Iramba Magharibi (CCM), Mwigulu Nchemba, (Kushoto), wakati walipokutana kwenye semina ya siku moja ya Wabunge wanaopambana na Ukimwi, kwenye ukumbi wa St. Gasper mjini Dodoma jana.