Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,502
- 911,254
Kipanya nae ataka kugombea Uongozi wa Mpira Uchaguzi Mkuu ujao kasheshe kweli huko Tanganyika mnaongozwa mpaka na akina Vipanya?
Rais Jakaya Kikwete wa nne kulia akiwa na miongoni mwa Marais wanaohudhuria mkutano wa nchi nane tayari duniani wanajulikana kama G-8, ulioitishwa na Rais wa Marekani Barak Obama wa kuzungumzia hali ya chakula duniani.