Picha yangu ya leo hii

Jk hajui kwanini TZ ni masikini lakini ashangaa kuojionea mali zetru zikihamishiwa nchi ya jirani........
 

Rais Jakaya Kikwete,(wa 2kulia) na viongozi wenzie wa Afrika wakiwa katika mdahalo wa taasisi ya kilimo ya GroAfrica kwenye jengo la Makao Makuu Mapya ya Umoja wa Afrika (AU)jijini Addis Ababa, Ethiopia jana. Kutoka kushoto ni Rais Mstaafu wa Nigeria, Olusegon Obasanjo, Rais wa Rwanda, Paul Kagame na Rais wa Ethiopia, Meles Zenawi.
 

World Islamic Propagation Humanitarian Services (WIPHS) coordinator Mariam Tejan distributes blankets donated by WIPHS to patients at Ocean Road Cancer Institute in Dar es Salaam yesterday. (Photo: Tryphone Mweji)
 

Rais Jakaya Kikwete wa nne kulia akiwa na miongoni mwa Marais wanaohudhuria mkutano wa nchi nane tayari duniani wanajulikana kama G-8, ulioitishwa na Rais wa Marekani Barak Obama wa kuzungumzia hali ya chakula duniani.
 

Rais Jakaya Kikwete wa nne kulia akiwa na miongoni mwa Marais wanaohudhuria mkutano wa nchi nane tayari duniani wanajulikana kama G-8, ulioitishwa na Rais wa Marekani Barak Obama wa kuzungumzia hali ya chakula duniani.

Yeye peke yake ndo macho kwenye kamera,msanii bana!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…