Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,077
- 34,847
- Thread starter
-
- #541
Toa Maoni ya katuni
'' Kwa ajili ya hayo, wapenzi wangu, ikimbieni ibada ya sanamu. Nasema kama na watu wenye akili; lifikirini ninyi ninenalo '' 1 Wakorintho 10: 14-15.Mkuu kwa imani ya kikristo poa tu hiyo kupiga busu msalaba, Si unajuwa kila mtu na imani yake. wewe unaona wakristo wanabudu masanamu kwa imani yako ya Kiislam lakini kwa Wakristo ni kitu cha kawaida Mungu ndie muamuzi wa mwisho siku hiyo inakuja acha tu mkuu.
Duuh inataka moyo ila wasikate tamaa wanaweza vuka