Picha yangu ya leo hii


Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), `uzalendo` uliwashinda na kushuka kutoka kwenye magari ya chama hicho na kuamua kujiunga kucheza mziki wa `peoples power`, kwenye mkutano wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), eneo la Pagali, Uzini Zanzibar, katika kampeni za uchaguzi mdogo jana.
 
Jk is the biggest failure i have ever known in my entire life.... may God burn him alive
 

Baadhi ya viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) Wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam, wakiangalia kadi za chama hicho zilizorudishwa na wanachama eneo la Mbagala Zakhem wilayani humo jana.(PICHA: MOSHI LUSONZO)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…