hapa ni utata mtupu
yote njaa kwa mnunuzi au kwa muuzaji?
Lakini Viongozi wa CCM hawana njaa Wananchi ndio wenye njaa MkuuIngependeza kama angevaa jezi ya ccm
Nakubaliana kabisa na weweKaka una kichwa kigumu kama nazi.
sawa laki i katika maisha ni kawaida kutaabikia tonge na wanawake sasa hawagwai tena taabu za kusaka tonge kama wanaume, so pamoja na haja ya kuwezeshwa zaidi, lakini nafarijika kuona wanawake wamepuuza hizo taabu nao wameamka kupambana kiume
woote wawilihapa ni utata mtupu
yote njaa kwa mnunuzi au kwa muuzaji?
halafu watoto wataenda shule kwa yeye kula samaki MUWE MNAFIKILIA JAPO KIDOGO JAMANI KHAAAAA!si ale chakul hicho hapo juu anakufa njaa wakati anahela mfukoni?
mimi ningeanzia juu mpaka chiniKweli yote njaa mie nimewatamani hao samaki tuu
Kweli yote njaa mie nimewatamani hao samaki tuu
na wewe salama??? ilikuwaje???eenhee??? naona kichwa kichwa tuu.... wamjua nilham wewe???
Ila hawa ndio wanaongoza kwa kuipigia kura CCM
Naona wanakuchokoza wenyewe