Hapo kama kule kwetu Nangurukuru
Hapo kama kule kwetu Nangurukuru
Kweli yote njaa mie nimewatamani hao samaki tuu
bwana wewe!!Lazima itakuwa Ntwara tuu hiyo!!!!!
wanawake na maendeleo. heko wanawake wote, ule wakati wa magolikipa umekwisha
Judith japo wanawake kwa maendeleo ila wapo wanapatashida sana kutafuta tonge lao la kila siku!