Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Chanjo ya Surua,pepopunda,ndui pamoja na kifua kikuu ni lazima,kwa nini hii isiwe lazima?Mara wanashauri Chanjo ya Corona iwe lazima.
Hapo ndipo siwaelewi kabisa
Kuvaa barakoa kwenye mikusanyiko na ofisi za serikali ni lazima au hiari?Mara wanashauri Chanjo ya Corona iwe lazima.
Hapo ndipo siwaelewi kabisa
Huku tulipo ni hiari sasa sijajua ulipo weweKuvaa barakoa kwenye mikusanyiko na ofisi za serikali ni lazima au hiari?
Sijawahi pata hizo chanjo hivyo siwezi sema neno.Chanjo ya Surua,pepopunda,ndui pamoja na kifua kikuu ni lazima,kwa nini hii isiwe lazima?
Siyo kweli kwamba hujawahi kupata hizo chanjo.Ficha ujinga!Hujawahi kupata chanjo ya surua?Sijawahi pata hizo chanjo hivyo siwezi sema neno.
Ila anavyo sema mwenyekiti nahisi nitapatwa na chanjo.
Hizo chanjo sijawahi labda kwa vile natokea ndichi sana ndo sababu lakini kwetu hakunaga hizo.Siyo kweli kwamba hujawahi kupata hizo chanjo.Ficha ujinga!Hujawahi kupata chanjo ya surua?
Kwa Tanzania chanjo ya Surua kwa watoto wadogo ni lazima.Hizo chanjo sijawahi labda kwa vile natokea ndichi sana ndo sababu lakini kwetu hakunaga hizo.
Sawa mkuu ngoja tusubiri tuone itakavyo kua kwa Tanzania yetu.Kwa Tanzania chanjo ya Surua kwa watoto wadogo ni lazima.
Halafu unaelewa kuwa katika sayansi ya tiba watu fulani wanapopata chanjo na wengine kuachwa huwa inasababisha virus ambao hawajafanyiwa chanjo kufanya mutations kisha kuzalisha virus mpya ambao huwa wana uwezo wa kuresist chanjo ya awali na kufanya waliochanjwa kuambukizwa virus wapya na kusababisha chanjo waliochanjwa awali kuwa functionless?
Ninachomaanisha hapa kitaalam ni kwamba kama watapata chanjo baadhi ya watu na wengine kuachwa basi hiyo chanjo haitafanya kazi.Kitaalam ili chanjo ifanye kazi kama ilivyokusudiwa ni lazima kila mtu achanjwe.
chanjo yenyewe watu wanakufa out there halafu iwe lazima vipi vipiChanjo ya Surua,pepopunda,ndui pamoja na kifua kikuu ni lazima,kwa nini hii isiwe lazima?
Chanjo ya Surua,pepopunda,ndui pamoja na kifua kikuu ni lazima,kwa nini hii isiwe lazima?
Chanjo iliyokuwa inasumbua kidogo ni Astrazeneca na walishaidhibiti tayari lakini chanjo nyingine kama vile sputnik,moderna na bioNtech hazisumbui.chanjo yenyewe watu wanakufa out there halafu iwe lazima vipi vipi
Chanjo iliyokuwa inasumbua kidogo ni Astrazeneca na walishaidhibiti tayari lakini chanjo nyingine kama vile sputnik,moderna na bioNtech hazisumbui.Hizi chanjo ni contraversal, bado zina utata mkubwa.---- ni jambo la kuchukua tahadhari kabla ya kupokea chanjo. Taking the jab.
Jeshi letu la polisi bana,kwenye picha akuna hata aliyetabasamuPale anaposikia chadema wakidai kuwa lazima wafanye kongamano la katiba atake asitake
View attachment 1861939
Upo Kwa mpalange mkuuHuku tulipo ni hiari sasa sijajua ulipo wewe
Dah ndo wape tena wengine Mzizima hata hatujawahi fika.Upo Kwa mpalange mkuu
Dah ndo wape tena wengine Mzizima hata hatujawahi fika.Upo Kwa mpalange mkuu
Wakitabasam chadema watapeta halafu wao ugali wao unayeyuka.Jeshi letu la polisi bana,kwenye picha akuna hata aliyetabasamu
Jeshi letu la polisi bana,kwenye picha akuna hata aliyetabasamu