Nyumba ya jambazi hii (sio wa JF) au wale Madon![]()
Hiyo ni JELA ya ALCATRAZ!!
Nyumba ya jambazi hii (sio wa JF) au wale Madon![]()
Yesu ndio mambo yoteAtarudi lini?Siku Yesu akirudi majumba kama haya yote yatakua magofu
Luka 21:9Atarudi lini?
Tatizo huna uwezo ndo maana unawaza hivo walokole,mashahidi wa jehova walio maskin weng ndo mawazo.utasikia tutarithi majumbaPoint Yangu hapa ni hayo majumba ya kufuru, nyakati za mwisho matajiri watatamani hayo majumba yawaangukie wafe lakini hawatakufa.
Hayo majumba mnayoyaona hayatasalia Hata jiwe moja juu ya jiwe.
Huu ni unabii.
Wewe si wa kwanza kudhihaki, lakini siku IPO siku yaja, utakapowaona walokole walio dharauliwa wakiiuridhi ufalme Wa MunguTatizo huna uwezo ndo maana unawaza hivo walokole,mashahidi wa jehova walio maskin weng ndo mawazo.utasikia tutarithi majumba
Alafu ninyi mtakaobaki mtayafaidi sana eeeee?Siku Yesu akirudi majumba kama haya yote yatakua magofu
TeteteeehSiku Yesu akirudi majumba kama haya yote yatakua magofu
siku Yesu akirudi utakuwepo....au na wewe ni mmoja wa wale wa7to mliouza nyumba mwaka 2000 na kwenda kumsubir Yesu airport..??..Siku atakapo rudi utajua kuwa si za kushikiwaAkili za kushikiwa
Mmh! habari za kusadikika hizoSiku Yesu akirudi majumba kama haya yote yatakua magofu
ukWapi hiyo mkuu
Wafu watafufuliwa Kwa hio wote tutamwona, itakua kufumba na kufumbua.Teteteeehsiku Yesu akirudi utakuwepo....au na wewe ni mmoja wa wale wa7to mliouza nyumba mwaka 2000 na kwenda kumsubir Yesu airport..??..
eti unajiita Adolph HitlerShikilia unachikiamini, ila kama unataka ukifa uishi tena basi njoo Kwa YesuMmh! habari za kusadikika hizo
Kweli aisee ndo maana niliwafyeka wa Israel in WWII kwa kosa hiko hilo la ku-imaging ila hivi sasa na mimi namsubir naamin atanifufua....Wafu watafufuliwa Kwa hio wote tutamwona, itakua kufumba na kufumbua.
![]()
![]()
eti unajiita Adolph Hitler