englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,207
Nyumba ya jambazi hii (sio wa JF) au wale Madon
Siku Yesu akirudi majumba kama haya yote yatakua magofu
Na hili la UVCCM hapa!Siku Yesu akirudi majumba kama haya yote yatakua magofu
Nimecheka sanaaaaaaSiku Yesu akirudi majumba kama haya yote yatakua magofu
Huamini au?Nimecheka sanaaaaaa
Nyumba ya jambazi hii (sio wa JF) au wale Madon
Imani ni bayana ya mambo yasionekana. Kama huani ni weweAkili za kushikiwa
Na hili la UVCCM hapa!
Kwahiyo vijumba vyetu vya kuinama vitapona?Siku Yesu akirudi majumba kama haya yote yatakua magofu
Point Yangu hapa ni hayo majumba ya kufuru, nyakati za mwisho matajiri watatamani hayo majumba yawaangukie wafe lakini hawatakufa.Kwahiyo vijumba vyetu vya kuinama vitapona?
Kwa hiyo yasijengwe kwa vile yatakuwa magofu. Wewe unakalia nini duniani, yesu si akirudi utakuwa gofu!Siku Yesu akirudi majumba kama haya yote yatakua magofu
Nyakati za nuhu watu walikula na kunywa, walioa nakuolewa, walilima na kupanda,Kwa hiyo yasijengwe kwa vile yatakuwa magofu. Wewe unakalia nini duniani, yesu si akirudi utakuwa gofu!