MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
Nimekuwa nikijaribu kufuatilia picha
ya mtuhumiwa wa ugaidi Arusha bila mafanikio, labda kuna mlio nayo mtuwekee.
kama haipo basi yapo maswali mazito.
Tumeshuhudia picha za watuhumiwa hasa yanapokuja matukio ya kitaifa kama haya. Si tu ndani bali nje ya Tanzania.
Huyu mtuhumiwa ameshasomewa mashitaka 21 mahakamani ila coverage sina uhakika kama imekuwa ya kina ukilinganisha na uzito wa tukio
Kupata taarifa ni haki ya mwananchi na kama taarifa ndogo kama hii haipatikani ni jambo la kushangaza.
Update kwa hisani ya Ndibalema
ya mtuhumiwa wa ugaidi Arusha bila mafanikio, labda kuna mlio nayo mtuwekee.
kama haipo basi yapo maswali mazito.
Tumeshuhudia picha za watuhumiwa hasa yanapokuja matukio ya kitaifa kama haya. Si tu ndani bali nje ya Tanzania.
Huyu mtuhumiwa ameshasomewa mashitaka 21 mahakamani ila coverage sina uhakika kama imekuwa ya kina ukilinganisha na uzito wa tukio
Kupata taarifa ni haki ya mwananchi na kama taarifa ndogo kama hii haipatikani ni jambo la kushangaza.
Update kwa hisani ya Ndibalema