Picha ya mtuhumiwa wa ugaidi Arusha

Picha ya mtuhumiwa wa ugaidi Arusha

ukweli utajulikana na bwana ambrosi hawezi kutolewa kafara kirahisi hivyo huku waliofanya ilo tukio wakitanua.
 
any way hii ni ngumu
kweli, na hasa katika maswala haya yanayohusu uchunguzi wa kipolisi.
Ndio yale mambo ya kukalia kuti kavu...kama lile la lulu na kanumba!
Dogo ndio hivyo tena atasota ndani kweli! Na kama hawatampata mhusika
ndio basi tena. Hii inaonyesha ilivyo hatari kwa vijana wanaojitafutia
riziki zao kihalali wanavyokumbana na hatari na risk nyingi. Sijui
vijana wetu wa boda boda, bajaji na taxi sasa watajilindaje wasijikute
wanabeba wahalifu!

Yeye ndie fist lead kwa sasa maana ndie alikuwa na mhusika kabla ya
tokeo kutokea regardless alijua au hakujua, alihusika au hakuhusika.
Natamani tu haki itendeke kwake na kwa waliohusika. Ikiwa hakuhusika
haki yake isiwe delayed, ichukue kasi ya wale jamaa wa falme za kiarabu
walioachiwa huru

waachie waarabu wakale bata wewe pumbav zenu munauwana wenyewe alaf mnamtafuta mchawi, hahaa mkuki kwa nguruwe sio
 
maskini yatima huyo anakwenda fia jela
 
Bado ninahisi kuna walakini kwenye ukamataji wa hawa washukiwa na sasa washitakiwa...
 
Ole wenu mnaolichukulia swala la mlipuko wa mabom kanisani Arusha kwa mzaha. Jambo hili lawza chukuliwa na maadui wa nchi hii na kulikuza hadi kutokee mtafaruku kati ya waislaam na wakristo.

Dini hizi mbili zimekuwa ziki husiana kwa wema ingawaje kuna tafauti za ki itikadi
 
mwache akafe tu kwani na yeye si kauwa
huyo jamaa ni dereva wa bodaboda alikodishwa tu na mtuhumiwa alilipua bomu nakukimbia pilisi wakamng'ang'ania yeye hana kosa ,polisi wetu sio wachunguzi wazuri,wanapenda kutafuniwa tu!!POOR INVESTIGATION YA POLISI INAMALIZA NAKUTESA RAIA
soma hii mada ya Mungi UTAELEWA AMETOLEWA KAFARA



https://www.jamiiforums.com/habari-...embeba-mlipuaji-kama-abiria-wa-boda-boda.html

Tukio la Mlipuko wa Bomu Arusha: Victor ndiye aliyembeba mlipuaji kama abiria wa boda boda
 
Akili fupi utazijua tuu..na kungekua na choo humu jf wengi mngekuwa mnaweka mzigo pembeni

Bwana Mapesa

Unaposoma michango ya wadau katika jukwaa la jf , usivae miwani ya jua,/vua miwani ya jua uliyovaa.
 
Huyu hapa.
attachment.php

Asante ndibalema kwa kutuwekea picha, Swali nililonalo kichwani bado ni kwamba kijana kama huyu ambaye inasadikia alikuwa anaendesha bodaboda amepata wapi fedha za kununua baruti na kutengeneza au kununua hayo mabomu.

Bila kujua msukumo au ufadhili wake, bado tuna taarifa finyu sana kwenye hili tukio
 
mwache akafe tu kwani na yeye si kauwa

Unayasema haya kwakuwa hayakuhusu....mauaji siyo sababu ya kumkamata yoyote huku wauaji wakigawana mafao.....swali rahisi.....ni vipi huyu kijana aliweza kutengeneza bomu? je Mara ngapi mashambulio ya mabomu yametokea Arusha? Je ni mazoea ya watu Arusha kushambuliana kwa mabomu? mtindo wa mabomu umeletwa na nani ndani ya Arusha....mwenyeji?.....km mabomu siyo utamaduni wa Arusha haiwezekani ikawa mwenyeji ndo mhusika peke yake bila mshirika wa unakotoka utamaduni wa mabomu....!
 
nikama kuangalia bongomovie tu,itawafurahisha wageni wako kutoka shamba tu,
 
Back
Top Bottom