Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,176
- 48,460
- Thread starter
-
- #61
Sawa... Sikuipata hiyo... Hii itakuwa mara ya pili kwa picha zao kutumika kisiasa.Hio picha ni halisi mbowe alitwa na Samia na Kupata hio room ya Kupiga nae picha
Kwahiyo baada ya hii picha ndio umejua sasa!
Bashe ni mtu wa Lowassa siku nyingi mno.
Ongeza na Chalamilla, Yule mwandishi wa habari sijuhi kaingia chimbo kuja kujibu mapigiPolepole mwaka huu atawatoa nyongo... Maana kila anayejibu anapewa majibu yake anatulia... Sijui Albert Msando aliishia wapi😃😆
Mkuu unaonaje ukiweka wazi yale unavyofahamu kama mwandishi habari mwandamizi ambaye hutumii vyanzo vya kuokoteza huko Google?Ni kweli kabisa Polepole anajua mengi, hasemi yote kwasababu mengine yana kinga ya kiapo chake, ila kuna mengine ukweli anaujua, ila anapotosha kwa makusudi kwa ku sensationalize to create tension tuu, mfano mzuri ni kifo cha Magufuli, Polepole anajua kila kitu, A-Z, chanzo cha kifo, sababu za kifo, kilitokea lini, kilichomua ni nini, lakini ameamua kupotosha kwa kutaka kujenga hisia, ameuliwa na wahuni wa mtandao wa hatari, kitu ambacho sio kweli!
P
Ukweli ni upi?kilichomua ni nini, lakini ameamua kupotosha kwa kutaka kujenga hisia, ameuliwa na wahuni wa mtandao wa hatari, kitu ambacho sio kweli
Nilitaka kumtaja huyo ila nikajua ameishatajwa kwakuwa nimeuona Uzi huu ukiwa tayari umeishachanganya...Na Paulo Makonda
CCM wapo tangu 1977 miaka 48 wanakimbilia miaka 50, nusu karne. Wanazijua mbinu zote chafu na safu.Ni kweli kabisa Polepole anajua mengi, hasemi yote kwasababu mengine yana kinga ya kiapo chake, ila kuna mengine ukweli anaujua, ila anapotosha kwa makusudi kwa ku sensationalize to create tension tuu, mfano mzuri ni kifo cha Magufuli, Polepole anajua kila kitu, A-Z, chanzo cha kifo, sababu za kifo, kilitokea lini, kilichomua ni nini, lakini ameamua kupotosha kwa kutaka kujenga hisia, ameuliwa na wahuni wa mtandao wa hatari, kitu ambacho sio kweli!
P
Hutaki kujua ukweli toka kwa Pascal?Mkuu bado tunampenda na kumuona Pascal Mayalla akiishi tuendelee kujifunza kutoka kwake.
Sana tenaUmeanza
Umeanza Kufuatilia Siasa lini?
Bashe ni kijana mtiifu wa Rostam.
Ulikuwepo?Ila Bashe! Uwezo wake wa kubadili gia angani ni mkubwa sana. Yeye na Msukuma Kasheku.
Kwani watu si wanatakiwa wafanye nini kuhusu kesi ya Lissu... Wewe kuhusu kukamatwa kwa Lissu mtizamo wako upoje?CCM wapo tangu 1977 miaka 48 wanakimbilia miaka 50, nusu karne. Wanazijua mbinu zote chafu na safu.
Hii script ya Pole Pole imeshawaondoa watu kwenye hoja ya Lissu ambaye kesi inaahirishwa kila siku. Sinema ambayo muigizaji mwingine ni Gwajima na kanisa lake maarufu.
Comment yako imenishtua, hii Ni picha rasmi kabisa ya mbowe na Samia siku ya dira 2050. Kwa nn umehisi ya kutengenezwa? Umenishtua kutojua jambo kama hili mtu Kama wewe ambae ni mfuatiliaji wa siasaNahdani watu waliunganisha picha ya Mbowe na ya Mheshimiwa Rais. Lakini wote walikuwa kwenye tukio Moja la uzinduzi wa DIra 2050 lakini sidhani kama walipiga picha ya pamoja.
Wakuu hii ni picha rasmi na tukio lilikua live. Hata hivyo ikulu pia waliiweka kwenye taarifa zaoHawaoni kwa kutumia picha za kutengenezwa wanajiweka kwenye kundi la wahuni anaowapigia kelele polepole
Mara ya pili?? Mkuu upo kwenye siasa za Tanzania?Sawa... Sikuipata hiyo... Hii itakuwa mara ya pili kwa picha zao kutumika kisiasa.
Damn skippy!Na Paulo Makonda
Urikuwepoooo!? 😂Ulikuwepo?
Lissu hakua kampeni meneja wa Lowassa, sababu pia alikua mgombea ubunge. Pia tu hajawahi kuwa kampeni meneja wa mgombea yoyote wa uraisi.Tundu lissu alikuwa campaign manager wa lowasa in 2015