Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,378
- 176,233
Huyo mzee kwenye kupigilia pamba huwa hakosei![]()
Yaani hii picha kila nikiiangalia nacheka tu. Hivi huyu msukuma huwa anajiangalia kwenye kioo kweli!!!!
Huyo mzee kwenye kupigilia pamba huwa hakosei![]()
My kaka unacheka nini?
Hahaha
Hahah acha tu sisy.My kaka unacheka nini?
Hahah acha tu sisy.
Kanzu kama imeanikwa hivi
Teh kuna makusudi basi..![]()
![]()
![]()
![]()
Huyu baba sijui wanamfanyiaga makusudi!!! Maana sio kwa hizi over size.
Hahahaaaa!! Kwahiyo kumbe tatizo ni mwili!! Sitaki uchochezi my kaka.Teh kuna makusudi basi..
Kuna miili hata mafundi wa Dunia wakutane haiwezi kupendeza na nguo. Ila miili mingine hata ikivalishwa kitu cha ajabu unaelewa

Kwa hiyo atakuwa Rais kwa sababu ana suti nzuri!!!Suti ya namna hii huwezi kuikuta kwenye maduka ya chator. Na ukiikuta bahati mbaya lazima iwe oversize.

Kes
Uchochezi kesho jisalimishe police


Suti ya namna hii huwezi kuikuta kwenye maduka ya chator. Na ukiikuta bahati mbaya lazima iwe oversize.

Unacheka gukanzu
Jibu murwa kabisa...Kula likeNdoto ni sehemu ya maisha ya kila mwanadamu mwenye kuhitaji mafanikio kama huna ndoto basi jua ubongo wako ni tegemezi
Akili maji huwa haziwezi kufikiri nje ya box la siasa.Kwa hiyo atakuwa Rais kwa sababu ana suti nzuri!!!
![]()
![]()
![]()
hahaha yaani hipicha ikiwezekana siku nakufa nataka nizikwe nayo nikamuonyea Nyerere angalau aburudikeHuyo mzee kwenye kupigilia pamba huwa hakosei![]()
Travolta ya ukweli sana.Suti ya namna hii huwezi kuikuta kwenye maduka ya chator. Na ukiikuta bahati mbaya lazima iwe oversize.
Huyo mzee kwenye kupigilia pamba huwa hakosei![]()
mzeee wa chattle bwana. Sijui ushamba ataacha lini ?