Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,329
- 33,139
Du hii hatari!!
tanesco hapo yaweza chukua hata mwezi kuja rekebisha
are you sure?
Ni kutokujali tu wananchi...kama Rais hawajali wafanyakazi na hababaishwi na kura za 319,000 ndivyo nayo Tanesco isivyobabaishwa na kujali maisha ya wakazi Manzese Midizini.