englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,210
ngorongoro crater![]()
Nchi hii ina kila kitu lakini wanufaikaji ni
wachache ndiyo maana hata watalii wa ndani
huwa hawatembei Mbuga hizo maana kula
yao kwa siku ni matatizo.
Mbaya zaidi Serikali inajua vema lkn haioni.