Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Huyo paka jimy ndio nan?!Ndio mkuu.Arusha wing wametoa tangazo habari na hoja mchanganyiko kueleza yaliyomfika mwenzetu paka jimmy.
Huyo paka jimy ndio nan?!Ndio mkuu.Arusha wing wametoa tangazo habari na hoja mchanganyiko kueleza yaliyomfika mwenzetu paka jimmy.
Ni huyu TAAZIA: Mwanachama mwenzetu PakaJimmy, amefiwa na mwanae ajali ya basi ArushaHuyo paka jimy ndio nan?!
Uko sahihi 100% wanaonekana hata kabla ya safari hawakuwa na furaha na waweza hisi kama wamelazimishwa vile au wanasubiri adhabu......Shetani ni Mwovu tena ni muuaji na mtesi katili pia mchonganishi......Mungu Baba wape nguvu na ujasiri wote walopoteza watoto wao wapendwa....Ukiiangalia hiyo picha ya hao watoto, usoni hawaonekani wenye furaha kwa trip. Miili na roho zao zilikuwa na hisia fulani ambayo haikutafsirika. Mwenyezi Mungu azipokee na kuzilaza roho zao mahali pema![]()
![]()
Ahaaa nimekusoma mkuu so sad
Ndio mkuu.Arusha wing wametoa tangazo habari na hoja mchanganyiko kueleza yaliyomfika mwenzetu paka jimmy.
Habari zinazotembea sasa kwenye grup zinasema mzazi mmoja alikuwa na watoto watatu hapo wote wamefariki katika ajali hiiDaaaaa nihuzuni sana,yaaani wenye watoto tukijaribu kulichukulia ktk nafasi yatu ...maumivu yake si yakawaida
Aise so sadHabari zinazotembea sasa kwenye grup zinasema mzazi mmoja alikuwa na watoto watatu hapo wote wamefariki katika ajali hii
Na baada ya kupata taarifa hizo, naye akafa kwa mshituko
Na vile vile inasemekana mume wake kafariki mwezi mmoja uliopita...
So sad yaan