Picha ya Kumbukumbu

Dah!!!Nijuavyo kikawaida watoto wanapendaga safari,so kuanzia usiku wa kuamkia safari wanalala usngizi wa mang'amng'am wakiwaza kukuche tu safari ianze.,lakini hapo kwenye picha yaonyesha hawakua na furaha.,ama kweli MWENYE ENZI MUNGU MUUMBA WETU ametuumba na hisia ya yajayo mbele yetu pamoja na kuwa mara nyingi hatuyatambui moja kwa moja ama hatuyaongelei.
R.I.P watoto wetu wapendwa.
 
Huyu Mwl au mzazi aliyepiga picha hii kiukweli inamuumiza sana.

Watoto walionyesha ishara zote za masikitiko na huzuni kubwa ktk picha hii.

Kweli binadamu tumeumbwa kwa hisia za kujua baya mbele yetu lakini kwa ishara tu za mwili bila kupewa picha kamili ya tukio

MUNGU awape pumziko la milele Watoto hawa waliofariki Rhotia Karatu
 
Kweli asee hawakuwa na nyuso za furaha hata kidogo! Sio kawaida ya watoto kwa safari kama hizi.
Mungu awape pumziko la milele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…