Dah!!!Nijuavyo kikawaida watoto wanapendaga safari,so kuanzia usiku wa kuamkia safari wanalala usngizi wa mang'amng'am wakiwaza kukuche tu safari ianze.,lakini hapo kwenye picha yaonyesha hawakua na furaha.,ama kweli MWENYE ENZI MUNGU MUUMBA WETU ametuumba na hisia ya yajayo mbele yetu pamoja na kuwa mara nyingi hatuyatambui moja kwa moja ama hatuyaongelei.
R.I.P watoto wetu wapendwa.