naangalia,naendelea na safarUko barabarani speed 120 tufanye! ghafla unaona kimbwengo kama hicho juu ya semi. View attachment 1285989
umeambiwa kibwengo live !!Hiyo picha ni orijino au ?
Asee ,kumbe kibwengo yuko hivyoumeambiwa kibwengo live !!
Hahahahanaangalia,naendelea na safar
Ukiwa unaanza safari ukiomba ufunikwe na damu ya Yesu kwenye safari yako huwezi kuona hivyo vitu...