Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,404
- 36,543
Mmmh mkuu hii siyo chai kweli?
Niliaminishwa nilipokua mdogo kwamba kibwengo ni mfupi huyo mbona mrefu?
Kiko kwa scania kinakuhusu nini? Huo ni uchokozi!! Kwa kibwengo wa watuUko barabarani speed 120 tufanye! ghafla unaona kimbwengo kama hicho juu ya semi.
View attachment 1285989
😂Huwa wanabadilika kutokana na awamu! Awamu ya tano Sasa hapa kazi tu.. mabadiliko hayana chama😂Niliaminishwa nilipokua mdogo kwamba kibwengo ni mfupi huyo mbona mrefu?
Kiko kwa scania kinakuhusu nini? Huo ni uchokozi!! Kwa kibwengo wa watu
Wow! Angalia si kila mungu ni wa kuombwa. Mungu wa waoga ndiye atakuepusha usikutane nacho. Ila Mungu wetu Yehova akikukutanisha nacho ni ili ukimalizie mbali kisiendelee kufanya uovu wake kwa walio dhaifu. Hapo juu ya lory ujue kimekaa hapo ili labda kilipindue hilo semi kilete hasara kubwa pale Wami au Sekenke au Kitonga. Sasa aliyekiona alitakiwa akisambaratishe kwa Jina hilo lipitalo majina yote. Jina la Yesu Kristo wana wa Mungu aliye hai. Angemponya dere wa lory na mali zoteUkiwa unaanza safari ukiomba ufunikwe na damu ya Yesu kwenye safari yako huwezi kuona hivyo vitu...
Icho sio Kibwengo uyo mrembo tu mbona anafaa kwa matumizi tena naona ni kama Bongo iviUko barabarani speed 120 tufanye! ghafla unaona kimbwengo kama hicho juu ya semi.
View attachment 1285989