007 De Souza
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 901
- 486
Mauongooo
mwachen nyie wolper freemason atawaroga nyie?
mwachen nyie wolper freemason atawaroga nyie?
Kuna sehemu binamu hao mastaa wakienda wanaonekana ushuzi, kuna watu wana hadhi zao mjin apa
Mwachen nyie wolper freemason atawaroga nyie?
warumi...bora unisaidie kushangaa! Mi nimeishi huo mtaa wa sokoine 4 years kimasomo, hakuna wa2 wenye dharau na kujifanya wazungu kama wapita njia wa mtaa huo!! (maana mostly hakuna wakazi hapo) hapo pembeni ya hilo hekalu (wajenzi) kuna shoeshine mmoja (mangi) huyo ndo cha udaku grade one na ana namba za masupastar wote bongo (especially wachanaga wenzie!!) So nahisi ndo alimuita ili auze nyago kwenye udaku wa bamaga!Walijipiga picha babu wee, we unadhan posta wana mda mmchafu wa kufuatilia mastaa ushuzi mxiuuu
Ndoto za mchana huwa hawakutani mchana, labda alienda kupiga picha😀😀😀
mumuwache freemason wa watu!
mwrnyewe kavaa koti lake refu af yupo ndani ya full blak!mumuwache!
ngoja amuite freemason mwenzie Ney wa mitego!
HUyo alikuwa Hyatt anavizia madanga tu, freemason hawana wanachama mamburulaz kama wolpee
warumi...bora unisaidie kushangaa! Mi nimeishi huo mtaa wa sokoine 4 years kimasomo, hakuna wa2 wenye dharau na kujifanya wazungu kama wapita njia wa mtaa huo!! (maana mostly hakuna wakazi hapo) hapo pembeni ya hilo hekalu (wajenzi) kuna shoeshine mmoja (mangi) huyo ndo cha udaku grade one na ana namba za masupastar wote bongo (especially wachanaga wenzie!!) So nahisi ndo alimuita ili auze nyago kwenye udaku wa bamaga!
Ova.
Wakapeleke uko ujinga wao mxiuuu eti freemason nyoo