Hii nchi ina maajabu hii,serikali imeanzia toka chini kwa balozi hadi juu lakini mtu anajenga nyumba bila zuio lolote lile kutoka serikalini,leo waziri anashangaa tena na kamera zikimulika.
Halafu utakuta ni nyumba ya karibia milioni 200 kesho ikibomolewa na aliidhinisha nyumba kujengwa kufukuzwa kazi utaona vilaza Zito, chadema, Lisu &Co.wakiigia br,. kupinga na Tundu lisu kwenda kumteteta Bungeni! WatanZania sisi bado IQ ni ndogo sana, yaani IQ yetu haitoshi bado kwenda na mfumo wa Dunia unavyokwenda!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.