Picha : watu wamechafukwa

Picha : watu wamechafukwa

Earthmover

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2012
Posts
25,975
Reaction score
25,288
...

Kitu live !!!

attachment.php
 
Siasa za kijinga. Mimi siyo ccm ila siungi mkono upumbafu huu. Ujinga kama huu ndio chanzo cha machafuko. Siku wabomoaji wakibomolewa itakuaje??

Futa delete kabisa magamba
 
Wanasema aonavyo mtu nafsin mwake ndivyo alivyo,hayo ni matokeo ya kile nafsi zimechoka na magamba
 
Huyoo atakuwaa ni mpumbavu mmoja tu ndo kafanyaa hvyoo..

Harafu eti ndo mnachukulia point hapo eti Ccm imechokwa. Jisemee ww mwenyewe usiwasemee wengine.
 
Siasa zimewashinda kwa sasa mmebakia kubomoa kuta.

Watu wenye hekima na busara kama Mark Twain walishatuasa na kusema, Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience. CCM haitaenda huko mnakotaka kuipeleka.

CCM itaendelea kufanya siasa zenye matokeo chanya ndani ya sanduku la kura kama ilivyo tokea mwaka 1995 mpaka leo.

Kazi ya kubomoa kuta tunawaachia ninyi lakini mnatakiwa muelewe kuwa, mkono wa vyombo vya usalama ni mrefu.

Kuna baadhi yenu kwa sasa bado wako magerezani baada ya kufanya kazi kama hii mliyoifanya.
 
Siasa za kijinga. Mimi siyo ccm ila siungi mkono upumbafu huu. Ujinga kama huu ndio chanzo cha machafuko. Siku wabomoaji wakibomolewa itakuaje??
Naunga mkono hoja!, huu ni uhuni, na waliofanya kitendo hiki ni uhalifu na wachukuliwe kama wahalifu wengine wowote bila kujali itikadi zao za kisiasa!, na ni watu kama hawa ndio wanaotia doa baadhi ya vyama kuonekana kama ni vyama fujo, vurugu na kuhatarisha amani!, kumbe sio vyama bali ni wahuni wachache kwenye vyama hivyo!.

Ila pia tuna watu wajinga ajabu humu!, wanasifia ujinga!.

Pasco
 
Siasa zimewashinda kwa sasa mmebakia kubomoa kuta.

Watu wenye hekima na busara kama Mark Twain walishatuasa na kusema, Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience. CCM haitaenda huko mnakotaka kuipeleka.

CCM itaendelea kufanya siasa zenye matokeo chanya ndani ya sanduku la kura kama ilivyo tokea mwaka 1995 mpaka leo.

Kazi ya kubomoa kuta tunawaachia ninyi lakini mnatakiwa muelewe kuwa, mkono wa vyombo vya usalama ni mrefu.

Kuna baadhi yenu kwa sasa bado wako magerezani baada ya kufanya kazi kama hii mliyoifanya.

Ndigi,
Kama English haipandi si uandike tu kiswahili? Hiyo English niya form 2 aliyefeli..

Mwaka huu mtaisoma number maana ni futa delete kabisa magamba
Mimi nikiyakuta magari ya magamba nita yapopoa mawe...hata majengo ya magamba japo ni mali ya umma
 
Ingawa mimi ni Chadema damu damu lakini kitendo hiki si cha kistaarabu! usimtendee mwenzio usiyopenda kutendewa.

2015..............CCM.................MUST.............GO
 
Ingawa mimi ni Chadema damu damu lakini kitendo hiki si cha kistaarabu! usimtendee mwenzio usiyopenda kutendewa.

2015..............CCM.................MUST.............GO

Chadema inahusikaje hapo..? Acha umburulaz
 
Huyoo atakuwaa ni mpumbavu mmoja tu ndo kafanyaa hvyoo..

Harafu eti ndo mnachukulia point hapo eti Ccm imechokwa. Jisemee ww mwenyewe usiwasemee wengine.

kama yeye ni mpumbavu wewe ni nani
 

Naona wameanza kudelete miundombinu ya CCM badala
ya CCM yenyewe.

Halafu hawa hawa ndo hudai chama sio majengo ni sera sasa huu si ni wendawazimu.

Hii operation imeshafeli tayari.
 
Hizo zote ni habari njema sana kwa wataka maendeleo vinginevyo huyu mkoloni mweusi ataendelea kutufilisi kila uchao
 
Wavuta Bangi wamechachamaa..

Kwani kuvunja huo msingi si ukosefu wa adabu tu?

CCM itaendelea kusimama imara.
 
Back
Top Bottom