Picha : watu wamechafukwa

Picha : watu wamechafukwa

Siasa zimewashinda kwa sasa mmebakia kubomoa kuta.

Watu wenye hekima na busara kama Mark Twain walishatuasa na kusema, Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience. CCM haitaenda huko mnakotaka kuipeleka.

CCM itaendelea kufanya siasa zenye matokeo chanya ndani ya sanduku la kura kama ilivyo tokea mwaka 1995 mpaka leo.

Kazi ya kubomoa kuta tunawaachia ninyi lakini mnatakiwa muelewe kuwa, mkono wa vyombo vya usalama ni mrefu.

Kuna baadhi yenu kwa sasa bado wako magerezani baada ya kufanya kazi kama hii mliyoifanya.
huoni kuwa ni uchafu wa miji, barabara kujenga vitu kama hivyo? Pasco MSALANI
 
Last edited by a moderator:
kuvunja huo msingi ni ukosefu wa adabu tu!

CCM itaendelea kusimama imara.
 
Vijiwe vya ccm huwa vya kuficha maovu,wakwepa kodi ukikiweka hicho ktk eneo la barabara basi waweza uza hata madawa ya kulevya usiguswe
 
Naunga mkono hoja!, huu ni uhuni, na waliofanya kitendo hiki ni uhalifu na wachukuliwe kama wahalifu wengine wowote bila kujali itikadi zao za kisiasa!, na ni watu kama hawa ndio wanaotia doa baadhi ya vyama kuonekana kama ni vyama fujo, vurugu na kuhatarisha amani!, kumbe sio vyama bali ni wahuni wachache kwenye vyama hivyo!.

Ila pia tuna watu wajinga ajabu humu!, wanasifia ujinga!.

Pasco

Unajua utaratibu wa kujenga hilo shina?

Oka mwenye eneo la shina kaamua kuhama chana na kulibomoa shina eneo lake.

Wapumbavu mnaotokwa na povu bila kujua utaratibu upi hutumia.

Ukiwa na kadi ya maccm, ukahamia CHADEMA ni haki hata ukiichana kadi ama kuwapa wahusima wapya waziteketeze.

Kuvunja shina ni kawaida tu
 
Rip tawi letu la kijani kibichi


...

Kitu live !!!

attachment.php
 
Salam zimefika lumumba hizo Ila zimfikie kinana alie valisha bendera ya chadema mbwa
 
Ujumbe una namna nyingi ktk kufikishwa kwake, kama watu wakiandamana wanapigwa mabomu ya machozi huenda wameamua kutumia njia mbadala kufikisha mawazo yao
 
kwangu mimi siasa ni nukhusi hakuna siasa safi.siasa ni sawa na mavi.
 
wanaofanya hvo cku wakifanyiwa wao cjui itakuwaje kama sio kutuletea machafuko katika nchi
 
Siasa zimewashinda kwa sasa mmebakia kubomoa kuta.

Watu wenye hekima na busara kama Mark Twain walishatuasa na kusema, Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience. CCM haitaenda huko mnakotaka kuipeleka.

CCM itaendelea kufanya siasa zenye matokeo chanya ndani ya sanduku la kura kama ilivyo tokea mwaka 1995 mpaka leo.

Kazi ya kubomoa kuta tunawaachia ninyi lakini mnatakiwa muelewe kuwa, mkono wa vyombo vya usalama ni mrefu.

Kuna baadhi yenu kwa sasa bado wako magerezani baada ya kufanya kazi kama hii mliyoifanya.

Sanduku la kura my foot! Wizi mtupu.
 
Siwezi kupoteza muda wangu kwa manufaa ya wachache
 
Huyoo atakuwaa ni mpumbavu mmoja tu ndo kafanyaa hvyoo..

Harafu eti ndo mnachukulia point hapo eti Ccm imechokwa. Jisemee ww mwenyewe usiwasemee wengine.

bucca hata mimi nimeichoka aisee
 
Naunga mkono hoja!, huu ni uhuni, na waliofanya kitendo hiki ni uhalifu na wachukuliwe kama wahalifu wengine wowote bila kujali itikadi zao za kisiasa!, na ni watu kama hawa ndio wanaotia doa baadhi ya vyama kuonekana kama ni vyama fujo, vurugu na kuhatarisha amani!, kumbe sio vyama bali ni wahuni wachache kwenye vyama hivyo!.

Ila pia tuna watu wajinga ajabu humu!, wanasifia ujinga!.

Pasco

Hao ni raia tu tena ukute si
member wa chama chochote wamechafukwa tu na katiba mpya
 
Siasa zimewashinda kwa sasa mmebakia kubomoa kuta.

Watu wenye hekima na busara kama Mark Twain walishatuasa na kusema, Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience. CCM haitaenda huko mnakotaka kuipeleka.

CCM itaendelea kufanya siasa zenye matokeo chanya ndani ya sanduku la kura kama ilivyo tokea mwaka 1995 mpaka leo.

Kazi ya kubomoa kuta tunawaachia ninyi lakini mnatakiwa muelewe kuwa, mkono wa vyombo vya usalama ni mrefu.

Kuna baadhi yenu kwa sasa bado wako magerezani baada ya kufanya kazi kama hii mliyoifanya.

Na wale waliokuwa wanamfukuza kijana wa Chadema kwa matofali, virungu na mapanga kule Dodoma...siasa ilikuwa imewafika wapi?
 
Back
Top Bottom