Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Hata hivo walijitahid sana unajua walikua na muda gani tangu waanze?
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
hahahah
Hata hivo walijitahid sana unajua walikua na muda gani tangu waanze?
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Ungeendelea kumjibu yeye na sie mie....wewe ndie umedandia treni kwa mbele na tunakugonga mbele na nyuma.mimi nimemjibu mtu aliyesema kuwa ACT ndiyo chama kikubwa cha upinzani wewe ukadandia dyudyu kwa mbele,
kazi yangu mimi ni kutwanga tu mpaka nisikie harufu ya mafla ndiyo nikuachie.
Ungeendelea kumjibu yeye na sie mie....wewe ndie umedandia treni kwa mbele na tunakugonga mbele na nyuma.
Uzi wa wazalendo huu.
Naona mmezoea kusuguliwa Kisongo.....mtafuteni Ben. Hasira zenu msimalizie kwa wasiohusika.
Kama huna hoja nenda kwenye uzi wa basha wako anayesota Kisongo.
Mbona hapo ni kama mwandiga sokoni?View attachment 454139 View attachment 454138 View attachment 454139 View attachment 454140 View attachment 454141 View attachment 454139 View attachment 454139
Ni katika kampeni za udiwani zinazoendelea katika maeneo mbali mbali hapa nchini.
Mkuu kwani nimebisha kununua kadi sio kupiga kura tusubiri uchaguzi ukifanyika ndo tutajua nani ni naniUjumbe ni kuwa wananchi wananunua kadi za ACT wazalendo kwa wingi.
Wewe ndio umepanic....siasa za matusi mmezizoea .....nilishakupuuza zamani....
Hoja ni kuwa wananchi wananua kadi za ACT wazalendo kwa wingi
Yaani nipaniki kwa MTU anayefananishwa na nyumbu?
The god must be crazy.