Acha kujidanganya....shida ni tume ya uchaguzi na katiba dhaifu.Kukiwa na vyama vitatu vyenye nguvu zinazokaribiana, Ukawa, ccm na ACT, definitely ccm wanaenda kushinda kiulaini. Upinzani ukiwa wamoja 2020 hata wakikodi jecha 5 ccm hawatoki; mambo mtaani yameharibika sana.
Treni ya chuma haifi....
Zanzibar shida ni tume, Tanganyika shida ni watanganyika wenyewe. Nasema hivi nikiwa na 100% ya nnachokisema at least kwa chaguzi zilizopita hadi sasa.Acha kujidanganya....shida ni tume ya uchaguzi na katiba dhaifu.
CDM ndio waaminifu na wakweli
Hahah madiwani 30 na mbunge 1?Na mna mpango wa kukamata nchiMadiwani wapo zaidi ya 30....kigoma ujiji pekee wapo 18.
Acha maneno weka muziki.
Na ndani ya mwaka 1 kina deni la mil 500?Lakini pia kina umri wa mwaka mmoja tu.
Kuna wengine wana miaka 30hata ofisi ilishawashinda
Sawa......wewe vibatari vyako upepo mdogo tu vyote vinazima.
Wapi nimesema ni chama kikubwa....usiniwekee maneno mdomoni.
Usihamishe magoli.....ujumbe ni wananchi kununua kadi za ACT wazalendo kwa wingi.
Acha akili za yule mnyama avukae Masai Mara......huyo si umetoka kumuita taa ya treni?....ushabadili gia anganiyes kibatari kilizima tukapata mbunge mmoja tu Kigoma.
Hata hivo walijitahid sana unajua walikua na muda gani tangu waanze?hahaha
2015 mliwapa hope hivi-hivi mwisho wa siku wakapata mbunge mmoja tu kama taa ya treni.