Picha:- Uwanja wa Ndege Songea

Ruvuma ni muhimu sana kwa nchi hii kuliko Chato. Sisi tunalisha nchi
Lakini Chato ndiyo anakotoka mkuu wa nchi, huvyo unaweza ukaona jinsi kuluvyo muhimu zaidi.
Pia Ruvuma maendeleo yao na uwanja wao wa ndege inabidi vibaki hivyo ili kuwe na kumbu kumbu za kizamani si unajua kuwa vita ya majimaji ilipiganwa pande hizo? So mtu anaposimuliwa akiangakia around na kuona kuluvyokaa kizamani anakua anapata ile picha hasa.
 
Uwanja wa ndege wa Iringa (Nduli) hauna choo. Siku tumbo likimvurugika maggid sijui atafanyeje Mwenyekiti wangu
 
Buffalo yetu inatua hapo miaka mingi tu bila shida yoyote......mtoa mada una hasira zako tu...pole sana.
 
Haha ccm oyee songea na ruvuma
 
Ngoja wawanyonge.
Ninyi wote si ni wanyonge!???

Basi, nyongenwi tu hadi akili ziwa rudi kuwa kuwapa ccm kura na majimbo yote ni unafiki.

Sitaki mapovu jamani ninyi wana wa kijani...
 
Kitaalamu kwa uzito wa ndege zinazotua hapo na wingi wake,hakuna tatizo lolote,kwa ufupi mpo salama
 
Duh!huo ni uwanja wa ndege au eneo la kupaki mitambo ya mkandarasi????
 
Uzuri mimi huwa sipandagi ndege wanapanda wao wenyewe
 
Cc Lizaboni
 
Hivi mello nikilitukana jitu kama hili utanipiga ban tena???

Daaaaa , kweli kuwa shabiki wa ccm lazima uwe umepungukiwa marinda.......
 
Kawoli upooo!!! Wewe lazima nyumbi bombiii, hahahaaaa!! Hilo jina babu yangu alipendaga sana kutumia eti "kawoli yeee kwoki" yaani pilipili yenyewe iko wapi!! Moniliiii, hahahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…