Ndio wachawi hao kina Nyani NgabuKwani kuna ubaya!?,Mwijaku si ni raia wa Tanzania!?.., watanzania tuna matatizo sana. Mwenzetu mmoja akichomoza kuelekea kuWin tunaanza vita vya thread + picha😁
Uliona aibu anazozifanya huko lakini? Katika civilized world pale kwenye bus walikuwa wanamuona kama mental fulani. Hakuna impact kwenye utalii.Kwani kuna ubaya!?,Mwijaku si ni raia wa Tanzania!?.., watanzania tuna matatizo sana. Mwenzetu mmoja akichomoza kuelekea kuWin tunaanza vita vya thread + picha😁
Sijaziona aibu alizofanya, ziweke hapa tuzione tujadili kama ni aibu au mtazamo wako, mkileta thread weka taarifa kamili. Mleta uzi kaandika uthibitisho....., kidogo kaweka picha kama vile kila mtu anamfatilia Mwijaku masaa 24. All in all mtu yeyote ana haki ya kuitangaza Tanzania kwa namna anavyoona. Ili mradi asivunje sheria za alipo.Uliona aibu anazozifanya huko lakini? Katika civilized world pale kwenye bus walikuwa wanamuona kama mental fulani. Hakuna impact kwenye utalii.
Acheni kumpamba Huyu bwege
Ametumwa na nani,serikali ina njia zake zq kufanya kaziKwani kuna ubaya!?,Mwijaku si ni raia wa Tanzania!?.., watanzania tuna matatizo sana. Mwenzetu mmoja akichomoza kuelekea kuWin tunaanza vita vya thread + picha😁
me sijaona TTB walipokosea kutangaza utalii ni ruksa kwa kila mtanzania kwa mapenzi yako binafsi na Tasisi inawatu wake wakutangaza utalii kwa masharti yao na mipaka yao ya utangazaji.Kwani kuna ubaya!?,Mwijaku si ni raia wa Tanzania!?.., watanzania tuna matatizo sana. Mwenzetu mmoja akichomoza kuelekea kuWin tunaanza vita vya thread + picha😁
Sasa Aibu gani bana acheni ushamba yaani mtu kucheza mziki ndo Aibu.Acheni roho mbaya zenu nyeusi.Uliona aibu anazozifanya huko lakini? Katika civilized world pale kwenye bus walikuwa wanamuona kama mental fulani. Hakuna impact kwenye utalii.
Muwe mnaelewa kwanza, kabla ya kukurupuka wao TTB, wamesema kuwa hawakumpeleka huko mwijaku ila kuna makampuni yaliyopewa hiyo kazi ndio labda walimpeleka huko na kumpa majukumu hao!! Ila wao kama wao hawamtambui na hawamlipi na asijitangaze kuwa ni balozi wa utalii wa TTB.
Kutangaza utalii ni taaluma na sio comedy, na kujutangaza wewe ni balozi wakati unayoyafanya ni kituko, na mbaya zaidi TTB hawakukutuma lazima wakukatae mapema.me sijaona TTB walipokosea kutangaza utalii ni ruksa kwa kila mtanzania kwa mapenzi yako binafsi na Tasisi inawatu wake wakutangaza utalii kwa masharti yao na mipaka yao ya utangazaji.
mwijaki ninavyomjua atakuwa amevuka mipaka, kitu ambacho taasisi imeona itakuwa fedheha kwa bodi nzima ya TTB nje nchi kuwa na wajinga wanaotangaza biashara muhimu kama utalii.
mfanyakazi wa NMB akiiba hela ya mteja.
NMB bank ndo inapokea kashfa na sio mfanyakazi.
umemaliza kila kitu.Muwe mnaelewa kwanza, kabla ya kukurupuka wao TTB, wamesema kuwa hawakumpeleka huko mwijaku ila kuna makampuni yaliyopewa hiyo kazi ndio labda walimpeleka huko na kumpa majukumu hao!! Ila wao kama wao hawamtambui na hawamlipi na asijitangaze kuwa ni balozi wa utalii wa TTB.
Kwani kafanya nini kinyume na kanuni na sheria za nchi!?,mbona hamleti hapa alichofanya tofauti?,mleta mada kaandika uthibitisho....., uthibitisho wa nini!?,Mwijaku kakosea nini kuitangaza Tanzania!?, mbona watu wanaitangaza Tanzania kwa njia mbalimbali tena bila kutumwa na mtu au bodi yoyote, tatizo kwa Mwijaku ni lipi!?Ametumwa na nani,serikali ina njia zake zq kufanya kazi
Nani amemtuma kuitangazaKwani kafanya nini kinyume na kanuni na sheria za nchi!?,mbona hamleti hapa alichofanya tofauti?,mleta mada kaandika uthibitisho....., uthibitisho wa nini!?,Mwijaku kakosea nini kuitangaza Tanzania!?, mbona watu wanaitangaza Tanzania kwa njia mbalimbali tena bila kutumwa na mtu au bodi yoyote, tatizo kwa Mwijaku ni lipi!?