segwanga
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,789
- 729
Sasa kama hali ndiyo hii, hiyo ndoa yao na CCM ni ya nini???!!!!!!! Au ndio ile kauli kwamba mke yampasa kumvumilia mme???!!!!
ndoa ya kikurya kama mke hapigwi maana yake hapendwi. Kwa hyo wavumilie 2 maana hyo ndo dalili kuwa mme anampenda mke wake