Aibu kubwa hii mkuu watoto wangu mama yani bibi yao alikataza hiyo makitu alisema sisi ametukuza bila hayo madudeMacho yako yameona kahirizi
Aibu kubwa hii mkuu watoto wangu mama yani bibi yao alikataza hiyo makitu alisema sisi ametukuza bila hayo madudeMacho yako yameona kahirizi
Moderator pelekeni jukwaa la picha
Katoto kalibomoa hewa babu akacheeeeeka.View attachment 549825
Katoto kanafurahi, Jakaya Kikwete anafurahi! Katoto kanatabasamu, Jakaya Kikwete anatabasamu!
Unafikiri walikuwa wanajadili nini?
-Ndumilakuwili-
Nasikia anakula cha Arusha hapo alikuwa tayariMtoto anatafuna Funguo, Mzee hana time nae Kama vile kabeba gogo!
Aisee kweli ni king'amuziMtoto kafungwa king'amuzi mkono wa kushoto.mganga alipiga pesa
Yule ana stress ndio maana hana furaha na maisha.Ukikaa karibu na muwalidi lazima unukie uwalidi.
Mzee JK ni mtu wa watu.
Achana na yule Mr Makunyanzi.
Aibu kubwa hii mkuu watoto wangu mama yani bibi yao alikataza hiyo makitu alisema sisi ametukuza bila hayo madude
Jf mnamaneno aiseeMtoto anatafuna Funguo, Mzee hana time nae Kama vile kabeba gogo!
Watu na maushirikina tu. Mtoto malaika huyo hajui chochote analindwa na mungu. Kumfunga mahirizi ni kumchanganya na ya ulimwengu tuAibu kubwa hii mkuu watoto wangu mama yani bibi yao alikataza hiyo makitu alisema sisi ametukuza bila hayo madude
Tundu lisoView attachment 549825
Katoto kanafurahi, Jakaya Kikwete anafurahi! Katoto kanatabasamu, Jakaya Kikwete anatabasamu!
Unafikiri walikuwa wanajadili nini?
moderator kaitikia witoKwani huku ni wapi?
Sio makanyuzi ni BRAZA K cc star tvUkikaa karibu na muwalidi lazima unukie uwalidi.
Mzee JK ni mtu wa watu.
Achana na yule Mr Makunyanzi.
Uchochezi
-Ndumilakuwili-
Tatizo anakamia gemu na hajiamini make wadhifa wenyewe kafanya kukutana nao tu hakuwa na maandalizi.Yule ana stress ndio maana hana furaha na maisha.
Nimeonamoderator kaitikia wito
Mjukuu anachezea ndevu za Babu. Babu anachekaaa!View attachment 549825
Katoto kanafurahi, Jakaya Kikwete anafurahi! Katoto kanatabasamu, Jakaya Kikwete anatabasamu!
Unafikiri walikuwa wanajadili nini?
hujakutana nayoWatu na maushirikina tu. Mtoto malaika huyo hajui chochote analindwa na mungu. Kumfunga mahirizi ni kumchanganya na ya ulimwengu tu