Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Katoto kanafurahi, Jakaya Kikwete anafurahi! Katoto kanatabasamu, Jakaya Kikwete anatabasamu!
Unafikiri walikuwa wanajadili nini?
Hii misamiati kuna MDOMO WA CHURA! sijui ni kina nani hawa!Ukikaa karibu na muwalidi lazima unukie uwalidi.
Mzee JK ni mtu wa watu.
Achana na yule Mr Makunyanzi.
Macho yako yameona kahiriziMtoto kafungwa king'amuzi mkono wa kushoto.mganga alipiga pesa
Watanzani sisi tutabaki masikini sababu ya unafik na Mungu hampendi mtu mnafiki.Ukikaa karibu na muwalidi lazima unukie uwalidi.
Mzee JK ni mtu wa watu.
Achana na yule Mr Makunyanzi.
Linganisha hiyo picha na ile ya mkulu wa sasa akiwa amembeba mtoto jibu Ndio utapata hapo mkuu
DoohModerator pelekeni jukwaa la picha
tafauti iko wazi kabisa na wala sio uchochezi
-Ndumilakuwili-
-Ndumilakuwili-