PICHA: Tukio la watu kunasana wakizini

PICHA: Tukio la watu kunasana wakizini

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,433
143_0783.jpg


Mganga Mfawidhi wa hospitali ya Temeke Dr. Aman Malima

A7LxxaHCEAASnVH.jpg


22419_535778989783207_1472079330_n.jpg


Wananchi waliokusanyika kwa wingi kujionea watu walionasana wakizini



IMG_0387.JPG


Polisi wakitimua umati wa watu kwa kutumia mabomu ya machozi
 
Hii ndio ripoti ya mwandishi Salehe Masoud wa Clouds tv kuhusu taarifa ya miili ya watu kung'ang'ania wakiwa gest house baada ya kufumaniwa, yani ni mwanaume aliekutwa na mke wa mtu ambapo Masoud ambae yuko kwenye hospitali ya Temeke ambako watu hao wanadaiwa kupelekwa ameripoti kwamba baadhi ya mashuhuda wanasema watu hao wamefikishwa hospitali wakiwa wamegandana na waliteremshwa kwenye gari wakiwa hivyohivyo ingawa uongozi wa hospitali umekanusha na tayari umeshatoa tamko kwa mamia ya watu waliokusanyika kwamba sio la kweli, hakuna ukweli wa hizo taarifa.
Baada ya watu kuzidi kuwa wengi na kila mmoja akitaka kuona hao waliogandana, polisi wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya mamia ya watu waliofika kushuhudia ambapo inasemekana wawili hao wamehifadhiwa nyuma ya Mochwari.
Hao watu inasemekana walikutwa wakifanya mapenzi kwenye nyumba moja ya wageni huko Temeke ambapo pamoja na uongozi wa hospitali kukanusha, inasemekana ukweli umefichwa kwa sababu ni tendo la aibu na waandishi wa habari wameshajaa tayari.


Bofya hapa kusikiliza

 
nani anajua undani wa hiyo kitu? kweli mke wa mtu ni GUNDI siyo sumu tena
 
Nchi hii kuanzia uongozi wa juu na bunge ni imani za kishirikina tu, sijui tunaenda wapi!
 
Dunia hilo dudu la mwanamke lina lock ndani? maana jamaa keshanasa hahaaa
 
Nchi hii kuanzia uongozi wa juu na bunge ni imani za kishirikina tu, sijui tunaenda wapi!
Ni asili yetu mkuu, tatizo ni kutokuutumia kwa manufaa ya wengi. Technolojia ya ushirikina tunayo sana lakini tumeshindwa kabisa kuwaibia wamarekani, wachina nk kwa ajili ya kutunisha mifuko ya watu wetu.
 
Mambo ya Dar hayo. Miaka ya nyuma jiji hili lilikuwa likijulikana kama RUMORVILLE
Uongo mwingi wa kijinga ulikuwa unaanzia hapa na kusambazwa mikoani
 
Jamani wale wezi wa wake na waume za watu jifunzeni kupitia hili.Hii ni aibu ya mwaka, cz ukilitafakari ili tukio mwili unapata ganzi ghafla.
 
Wale waroho wa kula vya watu wakae chonjo, lisemwalo lipo kama halipo linakujia.
 
Hivi na wewe Bujibuji upo kwenye kundi la wajinga? ziko wapi hizo picha?
 
Kweli kukosa ajira ni janga la taifa!!!
Huu umati uliofurika hapo hospitali kwa muda huo ina maana hawakuwa na shughuli?
Bado tunalalamika hatuna fedha,wakati hata akili za kuzaliwa nazo alizotupa Muumba,hatuzitumii kuwaza njia za kupata fedha!!!
 
Zile picha za Kenya za watu kufumaniwa tuliziona vp hapa hatuoni wahusika bali umati wa watu?
 
Hii ndio ripoti ya mwandishi Salehe Masoud wa Clouds tv kuhusu taarifa ya miili ya watu kung'ang'ania wakiwa gest house baada ya kufumaniwa, yani ni mwanaume aliekutwa na mke wa mtu ambapo Masoud ambae yuko kwenye hospitali ya Temeke ambako watu hao wanadaiwa kupelekwa ameripoti kwamba baadhi ya mashuhuda wanasema watu hao wamefikishwa hospitali wakiwa wamegandana na waliteremshwa kwenye gari wakiwa hivyohivyo ingawa uongozi wa hospitali umekanusha na tayari umeshatoa tamko kwa mamia ya watu waliokusanyika kwamba sio la kweli, hakuna ukweli wa hizo taarifa.
Baada ya watu kuzidi kuwa wengi na kila mmoja akitaka kuona hao waliogandana, polisi wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya mamia ya watu waliofika kushuhudia ambapo inasemekana wawili hao wamehifadhiwa nyuma ya Mochwari.
Hao watu inasemekana walikutwa wakifanya mapenzi kwenye nyumba moja ya wageni huko Temeke ambapo pamoja na uongozi wa hospitali kukanusha, inasemekana ukweli umefichwa kwa sababu ni tendo la aibu na waandishi wa habari wameshajaa tayari.


Bofya hapa kusikiliza


Kwanini masuala ya ngono yanapendwa sana kuyafuatilia? Sasa waliokuwa wanakusanyika wao ni watalaam wa kuwabandua au?
 
Naona hakuna mtu aliyefanikiwa kuwafotoa hao wahanga kama ilivyokuwa kule Nairoberry...
 
Back
Top Bottom