Shame on them, together with their Pinda n Makinda wanaoisimamia hiyo posho.
Shame on them, badala ya kuwakilisha matatizo ya wananchi huenda kulala bungeni, wakiongozwa na Tyson, kiraracha.
Shame on all who support the aforesaid posho bila kujali impact yake kwa hali ya mwananchi wa kawaida.
Shame on you all, mnaobeza madai halali ya madaktari, matokeo yake wananchi wengi wamepoteza maisha, huku mkitetea posho isiyo na maana...
Shame on serikali ya Jk inayoongozwa kilegelege, na iliyokosa mwelekeo