Aibu tupu,halafu eti Jiji,
Na juzi nasikia eti wameenda kudanganya watu huko na wameambiwa kwamba Dar linaingziwa katika majiji makubwa Africa .
Wakati hadi leo hakuna Fire lenye uwezo wa kuzima maji kwenye Jengo lolote refu hapo Dar.
Hayo mashimo na chambers kubuma kwa Mjini ni jambo la kawaida sana tu.Wanasubiria waziri aweke Budget.
We si umeona mpaka leo lile ghorofa bado linasikilizia soo kwanza,kisha wapandishe tena,na lile Jengo la Tigo lililodata wamepotezea wanajua watu akili zao zipo kwenye katiba,na muda mfupi uchaguzi.