Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Jan 10, 2009 5,471 734 Jan 4, 2011 Thread starter #44 Wadau mbali mbali wa mujini walikuwepo pia...
MkimbizwaMbio JF-Expert Member Nov 16, 2010 868 331 Jan 4, 2011 #45 Nina mashaka na hii ndoa. Hebu tusubiri
M-bongotz JF-Expert Member Jan 7, 2010 1,734 405 Jan 4, 2011 #46 DJ BABU said: yaani msela katuzidi kete majanki wa kibongo? Click to expand... Habari ndio hiyo.,lakini bongo mbona warembo wengi tu, mwache binti "akawakilishe taifa huko Naija"
DJ BABU said: yaani msela katuzidi kete majanki wa kibongo? Click to expand... Habari ndio hiyo.,lakini bongo mbona warembo wengi tu, mwache binti "akawakilishe taifa huko Naija"
M mageuzi1992 JF-Expert Member Apr 9, 2010 2,503 252 Jan 4, 2011 #47 HIVI WADAU HII MAMBO ILIKUWA WAPI ? HAPA BONGO AU ILIIFANYIKA NIGER? Maana naona BOX La AZAM JUICE ?
M mageuzi1992 JF-Expert Member Apr 9, 2010 2,503 252 Jan 4, 2011 #49 Ila binti inabidi akawe mvumilivu sana vyakula vingi vinawekwa pilipili nyingi sana
W Waukweli Kabisa New Member Jan 4, 2011 1 0 Jan 4, 2011 #50 Walipendeza kiukweli.... M happy for them....
L Leornado JF-Expert Member Nov 12, 2010 1,529 196 Jan 4, 2011 #53 Wanaonesha wanapendana sana. Tuwape chance..hii haijakaa ki-gold digger. Naona wako madly in love.
Safari Member Dec 14, 2007 84 4 Jan 4, 2011 #54 Hongera sana kwa KELIZ.. Merylisho sijui ndoa imeishia wapi..
drphone JF-Expert Member Sep 29, 2009 3,542 281 Jan 5, 2011 #55 kwakweli wamependeza wapo juu no comment wakosoaji cjui kama wananafasi hapo du
Chauro JF-Expert Member Aug 20, 2010 2,968 1,476 Jan 5, 2011 #56 how do measure true love? kwenye picha neh nawatakia kila la heri Nsiande said: Kwakweli this is true love, hope TBC will tape it in their Chereko progrm Click to expand...
how do measure true love? kwenye picha neh nawatakia kila la heri Nsiande said: Kwakweli this is true love, hope TBC will tape it in their Chereko progrm Click to expand...
B Bi. Mkora JF-Expert Member Oct 29, 2010 374 60 Jan 6, 2011 #57 Kwa kweli ni raha tu kuziangalia wala huchoki wamependeza mno. Hongera sana Eliza.
W wimbi la mbele JF-Expert Member Jan 4, 2011 647 266 Jan 6, 2011 #58 mbona wanawake wengi ma OVER WEIGHT? Kwa standards za wanigeria naona HAKUNA HATA US DOLLARS? Halafu hizi siku hizi DAR hakuna wanawake weusi?
mbona wanawake wengi ma OVER WEIGHT? Kwa standards za wanigeria naona HAKUNA HATA US DOLLARS? Halafu hizi siku hizi DAR hakuna wanawake weusi?
boma2000 JF-Expert Member Oct 18, 2009 3,280 310 Jan 6, 2011 #60 Leornado said: Noo hizo pics ni za kitchen party na bwana harusi alivamia tuu, This is send off iliokuwa jana... cheki walivongaraa hapa chini.. Ilikuwa party ya kufa mtu pale diamond jubileee..... Click to expand... Ni kweli mkuu nilikosea, thanks
Leornado said: Noo hizo pics ni za kitchen party na bwana harusi alivamia tuu, This is send off iliokuwa jana... cheki walivongaraa hapa chini.. Ilikuwa party ya kufa mtu pale diamond jubileee..... Click to expand... Ni kweli mkuu nilikosea, thanks