kama sijakosea niwatatu kutoka kushoto mstari wa nyuma,wale waliosimamayupi hapo?
Ungemzungushia alama utarahisishieJopo la wanafunzi wa Pugu Sekondari akiwemo Marehemu Ruge Mutahaba katika viunga vya mabweni ya shule hiyo View attachment 1033702
A-level, O-level alisomea Forodhani
Sugu kasoma na Ruge naona sura yake hapoJopo la wanafunzi wa Pugu Sekondari akiwemo Marehemu Ruge Mutahaba katika viunga vya mabweni ya shule hiyo View attachment 1033702
Ipo moja Twitter ya waziri kapiga na marehemu halafu karibu picha yote wamevaa blueMshana jr. Yuko wapi atoe ufafanuzi wa picha
Yes yawezakana hao wote ni magreat thinker?Mshana jr. Yuko wapi atoe ufafanuzi wa picha
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us